Shamsa ford amrushia dongo Hamisa?

Shamsa ford amrushia dongo Hamisa?

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
IMG_8241.JPG



Kutokana na mabalaa yanayomkuta hamisa mobeto na hii caption ya shamsa , je huu ujumbe unaweza kuwa wa hamisa kutokana na matukio kadhaa aliyowahi kumfanyia zari huko nyuma? , ni kweli anayopitia hamisa sasa hvi ni Malipo yake au ?

Tupia comment chini , nini maoni yako?
 
Kila Uzi hamisa hamisa...apewe tu taji lake! Tz sweetheart...
 
AF binamu UNAZINGUA ujue!
YANI TUMEKUSUBIRI WEEEEEEEEEEE!
af unakuja na ubuyu wa hiivi!
jana mekutizamaaa na HABARI ZAKO ZILIPENDWA!
oh casto kaachwa na tunda!
leo shamsa!
HIVI UKOJE LAKIN!?
usitutinganyie mambo!
 
Utadhani yeye au wewe warumi upo clean..very boring two people wewe pamoja na yeye.
 
Utadhani yeye au wewe warumi upo clean..very boring two people wewe pamoja na yeye.

Yes , wote hatupo clean , na ndio maana dunia inatulipa kutokana na ubaya tunaowafanyia wengine , na hamisa alimfanyia ubaya mwenzie tena kwa kujigamba, so Leo anavuna alichopanda, maisha ndivyo yalivyo🤣🤣🤣
 
AF binamu UNAZINGUA ujue!
YANI TUMEKUSUBIRI WEEEEEEEEEEE!
af unakuja na ubuyu wa hiivi!
jana mekutizamaaa na HABARI ZAKO ZILIPENDWA!
oh casto kaachwa na tunda!
leo shamsa!
HIVI UKOJE LAKIN!?
usitutinganyie mambo!

Sasa binamu kila siku unataka umbea wa mtu mmoja tu
 
Anawanyosha ila...

Ananyooshwa yeye , bwana hamtaki , tena kamuumbua kumuita mchawi hadharani🤣, bora zari alijiwahi kuondoka, Ila bibie kujipendekeza kote kule kwa domo Leo anaitwa mchawi, hamisa anapitia pagumu🤣

Ila maisha ndivyo yalivyo, unatakiwa ujute maamuzi ambayo sio sahihi uliyoyafanya, ni kama Funzo tu , Ila maisha yanaendelea tu atafanikiwa tu hamisa, ajikaze 🤣🤣
 
Back
Top Bottom