Shamsa Ford asema mahari yake ni Milioni 20

beth, Kwa hiyo ameshatumika sana, ni skrepa halafu anataka mahari ya milioni 10. Kwa hilo kopo la uchafu (dust bin) kila mtu anatupia uchafu humo? Mwenyezi Mungu tunusuru
 
umri wake huo kweli nje ya hiyo mahali hivi kuna mtu wa kumhitaji kwa ajiri ya ndoa kweli..?
 
Anyway siko hapa kukuaminisha kwa lolote bibie. Hapo ulipo fanya kujipiga kifua taratibu, kunywa maji, halafu kimomoyo sema mimi ni mchawi na mnafiki utabarikiwa. lol
Nishafanya hivyo what next my tutorial ? Ukweli ndio unauma sana lakini jua hivyo kuna line ya umeme hapo
 
Nani wa kutoa hiyo 20M+? Kwa kipi hasa? Kwa uzuri UPI? Mfupi,mnene,mweusi,kazalishwa,wanadai ana ng'onda,kaachika zaidi ya Mara mbili..!! Kaishiwa hana jipya so hizo ni business strategies tu
Duh!! Kumbe kaachika mara 2!!
 
Akipata hata wa kumchukua bure amkimbilie na sadaka akatoe, umezalishwa ukaachwa, Ney na wengine wamepita hapo wamejisaidia wameacha, umepata ndoa umeiacha, bado tu unajithaminisha hivyo? Thubutu my dear ukipata wa bure nenda tu.
 
@beth,Vigezo vya kuolewa siyo uzuri wa sura na kujua kupika tu. Kuna vigezo vingi ikiwa ni pa1 na udogo wa chumba, uzuri wa hicho chumba nk.

Na mbaya zaidi hakuna mwanamke anaejijua kama ana chumba kidogo na kitaaam. Kwa hiyo ww mwanamama huenda hujaolewa kwa sababu ya mapungufu hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…