MANILABHONA
JF-Expert Member
- Apr 1, 2015
- 462
- 350
Hivi wewe ulisema mahari yako itakuwa milioni ngapi vile?[emoji6]Shamsa bhana...
Nishafanya hivyo what next my tutorial ? Ukweli ndio unauma sana lakini jua hivyo kuna line ya umeme hapoAnyway siko hapa kukuaminisha kwa lolote bibie. Hapo ulipo fanya kujipiga kifua taratibu, kunywa maji, halafu kimomoyo sema mimi ni mchawi na mnafiki utabarikiwa. lol
Duh!! Kumbe kaachika mara 2!!Nani wa kutoa hiyo 20M+? Kwa kipi hasa? Kwa uzuri UPI? Mfupi,mnene,mweusi,kazalishwa,wanadai ana ng'onda,kaachika zaidi ya Mara mbili..!! Kaishiwa hana jipya so hizo ni business strategies tu
Duh mkuu mbona hii mimi napiga kabisa,napeleka maporini huko mradi iwe siri yake na yangu.🤣🤣Labda ya Zimbabwe, huyo hata bure sitaki
Yes before chid mapenzi alishaolewagaDuh!! Kumbe kaachika mara 2!!
Duh mkuu mbona hii mimi napiga kabisa,napeleka maporini huko mradi iwe siri yake na yangu.
Aahh!! Sasa hapo milioni 20 gani anaizungumzia, labda ya zimbabwe..[emoji23]Yes before chid mapenzi alishaolewaga
Kakalishwa gheto na yule mnyoa kiduku muuza mitumba kaolewa kwa ubwabwa na soda tu,leo uspesho gani mtu atoe 20
Ng'onda je?Ngoma hana mkuu mi nimeishapiga na nili mpima manake na ubongo movie nikajua tu tunatindua wengi
Kwa sababu hutahitaji umeme tena mkuuMil. 20 huku ana moto, umeme wa grid ya taifa ama anataka ya nini?