PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
dah mkuu nimecheka sana!!!Milioni 20??
Yeye anaona uzuri ndio kila kitu, huo uzuri wake mbona haujamdumisha kwa mumewe wa kwanza, huyo mumewe wa kwanza sidhani kama ilifika hata milioni 5.
Mahari hiyo bora niende zenji nikaoe hata wanawake wajane tu, najichukulia wajane wangu wa4 narudi kupyatila pyatila bongo dar es salaam