Shamsa Ford asema mahari yake ni Milioni 20

Shamsa Ford asema mahari yake ni Milioni 20

Hiyo miwaya ulimpa weye,wanawake tuache unafiki naomba ripoti yake kuwa ni muathirika. Bila uthibitisho jua una roho ya chuki na hutokuja kufanikiwa kwa kuwachukia wanawake wenzako waliofanikiwa.
kafanikiwa kitu gani?....hivi bongo movie inaeleweka inakoelekea au ilipo?
 
Milioni 20??

Yeye anaona uzuri ndio kila kitu, huo uzuri wake mbona haujamdumisha kwa mumewe wa kwanza, huyo mumewe wa kwanza sidhani kama ilifika hata milioni 5.

Mahari hiyo bora niende zenji nikaoe hata wanawake wajane tu, najichukulia wajane wangu wa4 narudi kupyatila pyatila bongo dar es salaam
Hahaaaa....dah
 
Milioni 20??

Yeye anaona uzuri ndio kila kitu, huo uzuri wake mbona haujamdumisha kwa mumewe wa kwanza, huyo mumewe wa kwanza sidhani kama ilifika hata milioni 5.

Mahari hiyo bora niende zenji nikaoe hata wanawake wajane tu, najichukulia wajane wangu wa4 narudi kupyatila pyatila bongo dar es salaam
Kupyatil pyatila....

Makaveli10 wewe ni wa Iringa?
 
Mimi naona sifa hizo anazo, sema tatizo mibwana aliyokua nayo nyuma yote mitahira.
 
Kununua gazeti jioni ni dharura ya kujitakia..

Wachache watanielewa..!!
 
Ukichukulia mambo ya mwenzio siriaz utaishia kuwa na stress tu!! Povu la nini na akati mtu kaongea vyenye anajichukulia na kujithamini???
 
Back
Top Bottom