Shamsa Ford asema mahari yake ni Milioni 20

Shamsa Ford asema mahari yake ni Milioni 20

Milioni 20??

Yeye anaona uzuri ndio kila kitu, huo uzuri wake mbona haujamdumisha kwa mumewe wa kwanza, huyo mumewe wa kwanza sidhani kama ilifika hata milioni 5.

Mahari hiyo bora niende zenji nikaoe hata wanawake wajane tu, najichukulia wajane wangu wa4 narudi kupyatila pyatila bongo dar es salaam
dah mkuu nimecheka sana!!!
 
1. Ameshazalishwa.
2. Background ya mahusiano yake yote tunayo wananzego.
3. Kashazushiwa kuwa na ng'onda na waliokuwa nae.
4. Mfupi na mnene kiasi kwamba sehemu inayotenganisha mapaja na miguu huwezi kuiona.

Labda mababu wa kizungu ndio watatoa hiyo 10 million na wakitoa jicho ataliwa sana kama kina Lucy Komba [emoji1787][emoji1787]
Lucy komba
 
Akipata hata wa kumchukua bure amkimbilie na sadaka akatoe, umezalishwa ukaachwa, Ney na wengine wamepita hapo wamejisaidia wameacha, umepata ndoa umeiacha, bado tu unajithaminisha hivyo? Thubutu my dear ukipata wa bure nenda tu.
huyo kijana Ney basi kwawachezea hao mabinti wa bongo movie kuna mmoja bongo movie ni bonge sana na kaushombe shombe kiaina kuna tetesi nae ni mzazi mwenzie hizo tetesi zina kaukweli?
 
Mijiwanawake mingine inaonaga misifa kuzungumza upuuzi mbele ya waandishi wa habari ili waonekana wapo matawi ya juu halafu mwisho wa siku wanaenda kumsumbua mama Lwakatare awaombee.
Kweli Shamsa Ford na utu uzima wote huo ulipiwe hiyo mahari yote hali kuwa kuna vigori chuchu saa sita,vitoto vya kuwekewa visarawanda siku ya fungate ama kile kitambaa cheupe.
Dah,Labda urudie usichana wako lakini siyo ulivyo sasa,sa hivi unatakiwa kulea wajukuu.
 
Back
Top Bottom