Shamsa Ford asema mahari yake ni Milioni 20

Ng'onda ni nini?
Ni samaki fresh aliyeoza akawa hafai ukiwa, akatiwa chumvi nyingi na kukaushwa kisha baada ya kukauka anafaa tena kuliwa na anakuwa anafaa tena Sana. Huwa ana pungent or irritating odour and smell.
 
Naomba mwenye namba zake aziweke hapa au anitumie pm
 

Ney wa Mitego hata Milioni Tano alikuwa hana, sasa Mil 20 imefikaje? Na Ney amekula kila kitu.......
 
Unaoa kwa milion 20, una kaa na mke hata miezi 12 haifiki!!! Nabii tito uje kuchukua muumini wako,
 
Harufu mbaya ile wanayotoaga wanawake wachafu ukeni.
Huwa siyo sababu ya uchafu ni ka aina fulani ya bacteria ambako hupelekea uke kutoa harufu kama ya samaki aliyea haribika, huwa harufu haitoki asipopatiwa tiba yake.
 
Nani wa kutoa hiyo 20M+? Kwa kipi hasa? Kwa uzuri UPI? Mfupi,mnene,mweusi,kazalishwa,wanadai ana ng'onda,kaachika zaidi ya Mara mbili..!! Kaishiwa hana jipya so hizo ni business strategies tu
Ng'onda ndyo nini mkuu.??
 
Huwa siyo sababu ya uchafu ni ka aina fulani ya bacteria ambako hupelekea uke kutoa harufu kama ya samaki aliyea haribika, huwa harufu haitoki asipopatiwa tiba yake.
Huwa ni maradhi ya zinaa tu, na wengine washakuwa chronic maana wanabadili wanaume kama vyupi vyao kwanini asinuke
 
Angeenda kuolewa uarabuni hiyo pesa ndogo sana kwao, kibongo bongo plus background yake lol atasubiri sanaaaaaa.
 
Yule mmewe muuza nguo sijui aliyekuwa na pua kama ngumi walishaachana?
 
Mshana Jr,
Hiyo nchi imejaa watu wajinga sana,mwanamke akiwa na tako anakuwa maarufu kuliko hata waziri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…