Sasa mwaka itakuwa imedumu?Du! Hii ndoa na mungu aibariki idumu hata mwaka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wow gauni [emoji8] [emoji7] [emoji7] Mungu awasimamie isiwe Kama wanaigiza maana hawa nao hawatabiriki
Hicho kiswahili kimenikumbusha musomaTupiamo mapichaz
Ndionani huyo na anausika VP na ndoa hii?Hivi yule Matilda yupo?
Wee,mawazo yako ni kama yangu nilikua nakula timing Nay wa Mitego azinguane nae nilianzishe,nakuja kushangaa Ney kamwagwa nataka kumzukia naambiwa kuna jamaa anaitwa Chid Lovee kalianzisha,basi ikabidi nile kwa macho tu,ila siwaombei waachane,nawaombea wadumu kwenye ndoa yao na iwe mfano bora kwa wengine,Mimi natafuta mwingine kwa sasa kwani niliempenda kashachukuliwa.Katika mademu ninaowapenda ni pamoja na huyu. Mola awalinde kwenye ndoa yao mpya. Na ikitokea Chidi akamwaga manyanga basi nitaingia mimi Inshaallah.
[emoji23] [emoji23] we huko siko hata kidogo[emoji17] [emoji17]Sio ile dini yetu ya kuongeza hadi wanne[emoji23][emoji23][emoji23]
Chizi huyu Kaka ye alihisi ndo kashamkomesha wapiii?!!!!!!Ney wa mitego nae kaja ju. Tuone movie itaishia wapi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] riziki yake Shemsa hiyoo!Hako kasichana nasikia ndo kalipokonywa tonge mdomoni eti Chidi alisema kalikua hakajui kuoga