jamani...Huyu nae alikuwepo atabaki kucheza kwayito kwenye harusi zawenzake kama akina Joti
Hilo vazi mbona kama linavaliwa na watu wa oman wanaume pale wakat wanapofunga ndoa au wanatambulishwa uchumba kwan na bongo nako wameanza kuvaa hivyo
Huyu jamaa anafanana na shoro mwamba
Mkuu usicheke hawa bongo movie mpaka kwnye maisha yao halis[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mm pia namkubali anajielewaKatika wadada wa mujini ninao wakubali ni huyu Shamsa. Hongera zako kuolewa.
Kikweli kweli au wakiwa wanaigiza muvi?Muigizaji aliopata umarufu kupitia filam ya chausiku ameolewa leo na chidi pamenzi. Ikumbukwe aliwayi kua mpenzi wa Ney wa Mitego wakashindwana.
Hongera sana Chidi kwakupata jiko.
View attachment 392326
View attachment 392327
View attachment 392329
View attachment 392330
DuuuhHako kasichana nasikia ndo kalipokonywa tonge mdomoni eti Chidi alisema kalikua hakajui kuoga
Huyu Chidi Mahaba ni mbongo au mcongo?
Hongera zao....Mungu awabariki.Ila huyo Chiddy Mapenzi sijui Mpenzi uandishi wake ni balaa.Hii inasasifu kilichopo kwenye ubongo wake,hata kuansika na kuunganisha sentensi ni shidaa
Bibi harusi kuanzia kucha mpaka kope ni feki!!Hivi hawa uzuri wao wa asili kwanini wanauharibu?