Nimekumiss mpenzi wa rohoniii,hivi Money Stunna alituahidi atatupeleka tukafanye kazi mbona kimya sasa au we ashakupeleka halaf hujanitonyaaNimekumiss sana my dia.Upo jamani?
Anipeleke wapi hadi passport niliandaa nikajua naenda USA sasa nimeishia kuuza samaki kisesaNimekumiss mpenzi wa rohoniii,hivi Money Stunna alituahidi atatupeleka tukafanye kazi mbona kimya sasa au we ashakupeleka halaf hujanitonyaa
Mi nipo huku kiloleni nauzia huku samaki,sasa tumsake ukimuona tu we niite ana kosa la uchocheziiii la kutuchochezq halaf akasepaAnipeleke wapi hadi passport niliandaa nikajua naenda USA sasa nimeishia kuuza samaki kisesa
Yani na bora amejificha la sivyo ningemfungulia kesi kabisaMi nipo huku kiloleni nauzia huku samaki,sasa tumsake ukimuona tu we niite ana kosa la uchocheziiii la kutuchochezq halaf akasepa
Yaan katufanya tunakaanga samaki mpak vidole vimebadikika kwa kuungua na mafutaYani na bora amejificha la sivyo ningemfungulia kesi kabisa
kwani wameoana wale?!!chibu na zari?!!si wazinzi tu wale!!!pale kidini mondi hana mtoto watoto wa zarii!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwa walivyo watu wa show off kama wakitoka kufanya mapenzi wanaonyesha sembuse ndoa!!!Eeh kwani kila kitu ni lazima waweke wazi?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] aiseee.Du! Hii ndoa na mungu aibariki idumu hata mwaka
Ukiona kidume Ana pua kubwa jua kabisa huku chini mashaaalaa, yani Ni balaa, zaidi ya gogo
We acha Tu anainjoi balaaKwahio Bi Shamsa anapelekewa moto wa haja kutoka kwa bwana Mahaba
Du! Hii ndoa na mungu aibariki idumu hata mwaka
DahNdoa ya kiba CHALI
Ndoa ya uwoya na dogo janja CHALI
Ndoa ya shamsa ford CHALI
Ndoa ya stamina CHALI
Ndoa ya esha bukhet CHALI
Ndoa ya abdukiba CHALI
Kumbe nilikuwa sahihi 😂😂Ikifikisha mwaka haitavunjika tena.....