Shamsa Ford hatimaye aolewa

Shamsa Ford hatimaye aolewa

Anipeleke wapi hadi passport niliandaa nikajua naenda USA sasa nimeishia kuuza samaki kisesa
Mi nipo huku kiloleni nauzia huku samaki,sasa tumsake ukimuona tu we niite ana kosa la uchocheziiii la kutuchochezq halaf akasepa
 
Mi nipo huku kiloleni nauzia huku samaki,sasa tumsake ukimuona tu we niite ana kosa la uchocheziiii la kutuchochezq halaf akasepa
Yani na bora amejificha la sivyo ningemfungulia kesi kabisa
 
Eeh kwani kila kitu ni lazima waweke wazi?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kwa walivyo watu wa show off kama wakitoka kufanya mapenzi wanaonyesha sembuse ndoa!!!

Ukweli hawajafunga ndoa ni wazinzi tu kama wazinzi wengine penye ukweli tuseme bila hiyana!
 
Back
Top Bottom