Shamsa Ford: Mahari yangu ni Tsh. milioni 20

Dunia inakwenda kas Sana aiseee kutoka single mother ,kuolewa na kuachika eti milion20 mahari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

kilicho akilini kitumie
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Goma Lenyewe namba B nani atoe 20M kuchukua chombo chakavu😂😂😂
 
Sijui kwa nini mizigo mibovu hupenda kutangaza viwango vya kuolewa
 
Labda 20m pesa ya zambia!!!

Kwa pesa ya TZ tena kwa usawa huu wa uncle Magu laki2 ndiyo size yake. Kwanza inasemekana ni lile tunda maarufu la aina ya tikitimaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliolewa na mlevi mwenzetu yule dick na kuzalishwa kwa mkopo, badae muuza mitumba nae kampiga porojo kumuweka ndani. Kashtuka machweo.
Sa hivi aseme tu natafuta pa kuficha sura tu mil 20 si bora ununue ng'ombe kazaa ule nyama badae.
Ney wa Mitengo kasha kula sana huu mzingo..

Sent from my iPhone 12 using Jamiiforums App
 
Muandishi acha kupenda kusifia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…