black hawk87
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 678
- 1,244
Imepigikika Sana ile na penz halimo Tena pale mtu atakae jitosa mmmh gunia mbili za mkaa nyingneUtamu unaishaje kwa mwanamke Kama shamshaford
kilicho akilini kitumie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imepigikika Sana ile na penz halimo Tena pale mtu atakae jitosa mmmh gunia mbili za mkaa nyingneUtamu unaishaje kwa mwanamke Kama shamshaford
Mahar Sio kubwa Sana angesema ata 80 elfu ingekuwa pouwa Mana teyar utamu wote ushaisha na alishaolewa teyar
kilicho akilini kitumie
Ila uzuri wake unauonaje?Mkuu 80,000 ndogo sana kumbuka unachukua mke na mtoto.
Kwanini unaniuliza hivyo?Amekupa shingapi
Ila uzuri wake unauonaje?
Umempaka futa sanauu
Kwanini unaniuliza hivyo?
Kwani hastahili hizo sifa?Umempaka futa sana
Itakuwa una lako jamboKwani hastahili hizo sifa?
Mtoto ana baba yake atatunza mwenyeweMkuu 80,000 ndogo sana kumbuka unachukua mke na mtoto.
Mkuu hebu uje jukwaani tujipange kwa mashambulizi ya kesho achana na hizi kurubembe.
NajaMkuu hebu uje jukwaani tujipange kwa mashambulizi ya kesho achana na hizi kurubembe.
Si unajua majirani wanvyopenda tupoteze
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa chidy mapenzi kamuacha walau na bikra hata moja ningewashauri mtoe iyo pesa ila for now hayo ni mashimo ya taka tu.Mwadada mrembo kwenye kiwanda Cha bongo movies amesema Mahari yake ni mil 20 kwa mtu anayetaka kumuoa.Mwanadada huyo mwenye sauti ya pekee yenye mahaba ndani yake inayoweza kukufanya umuonge kiasi kikubwa Cha fedha bila yeye kukuomba hela.
Mwanadada huyo pia anasifika kuwa na ngozi ya asili yenye mvuto wa aina yake bila hata kujichubua Kama wadada wengi wamjini.Umbo lake linashangaza dunia inamfanya Mwanaume yoyote atoke na udenda automatically.sura yake pekee inaweza kushawishi kupewa mkopo na benki bila hata kuwepo riba bila kusahau sifa yake nyingine ana mguu soft utazani anaiweka AC muda wote.
Mwanadada pia anasifika kuwa na macho mazuri yenye mbwembwe na kuvutia mwanaume ambayo akikutazama utazani upo mbinguni kumbe upo duniani.Mwanadada huyo amekuwa role model kwa wanawake wengi na wangependa wawe Kama yeye kutokana na uzuri wake wenye bashasha na tabasamu lake tamu Kama unakula asali.
Ila tuseme ukweli demu analipa aiseeAngekuwa chidy mapenzi kamuacha walau na bikra hata moja ningewashauri mtoe iyo pesa ila for now hayo ni mashimo ya taka tu.
Sent using Jamii Forums mobile app