Shamsa Ford, Ney wa mitego ndani ya penzi zito

Huo muda angekaa kwanza tu mwenyewe maana Ney nae ni mzigo kama mizigo mingine tu
 
Sasa me sielewi au.....kwanini hayo mambo Shamsa kaamua kuyatoa ktk mtandao!!!😎😎
 
yaa nimeona afu siwema sijui analia wivu duuh

Hhhaaa wakati alibwanga manyanga au ndio aliacha huku anataka ila huyo Siwema kwa kutiwa hajambo yaan kajamaa alikofumaniwako nakafaham dogo kabisaaa na utakuta alifumaniwa kweli siwema malaya mnoo
 
Ila Dinazarde unajuaje kampendea nn Ney, ajabugi bana kwanza ndio kwanza picha linaanza
 
Haya.........

mine km kuna kiumbe mvumilivu duniani ni mwanamke haswa kwwnye mahusiano au ndoa
ila akichoka na akisema noo anamaanish wanaume wana makwazo sana nna%nyingi shamsa ndo alipigania penzi lisife ila amechoka sasa

pamoja na yote kwa ney amebugi sana tu mi nampenda sana huyu dada bass tu
 
Hhhaaa wakati alibwanga manyanga au ndio aliacha huku anataka ila huyo Siwema kwa kutiwa hajambo yaan kajamaa alikofumaniwako nakafaham dogo kabisaaa na utakuta alifumaniwa kweli siwema malaya mnoo

duuh hatarii halafu mzuri kweli yule dada
 
Na ile wemalicios akasema Ney ana iphone yake na htc amrudishiee baada ya kuona picha ya Ney na Shamsa

Kwi kwi kwi! Hawa mastar wetu wana vituko! Kumbe ni siwema yulee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…