Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

Amejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.

Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye

Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali


Unafahamu hakuna kitu kibaya kama kuharibu reputation ya mtu?

Asilimia zote stori yako umeamua kutunga ILI kuchafua heshima yake ambayo amejitengenezea kwa muda mrefu.

Unafahamu athari ya hichi ulichoandika ana biashara zake, ana watu wanaoishi kwa mgongo wake, ana ndugu hapa wanaomtazama kama inspirational.




Mtu kuwa public figure sio lazima umchafue sababu unajaribu kupona stress na maumivu unayopitia upande wako.
 
Hawa ma celeb wa Tanzania uchafu huyu dada nilikuwa namuona ana akili lakini bure kabisa .

Huyu mwigizaji akijibu maswali ya waendesha kipindi cha Ubaoni cha Channel ya Sinema Zetu anasema live kuwa ana mume anaishi naye ila wapo wapo tu ila kama atapata mtu mwingine wataachana aolewe .

Huwa akili wanapeleka wapi akipigwa ngeta utasikia eti ukatili wa kijinsia

USSR


Tanzania kuna celeb? Kuna watu wa kawaida wastaarabu, halafu kuna wapumbavu wenye ujasiri wa kufanya ujinga ambao wewe unawaita celeb.
 
Amejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.

Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye

Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali
Huyu mtoto alikuwa wa moto kipindi kile cha kina kanumba na ray kila mtu alikuwa anaduwaaaa, alikuwa mtoto maini, saivi atakuwa mama.
 
Unafahamu hakuna kitu kibaya kama kuharibu reputation ya mtu?

Asilimia zote stori yako umeamua kutunga ILI kuchafua heshima yake ambayo amejitengenezea kwa muda mrefu.

Unafahamu athari ya hichi ulichoandika ana biashara zake, ana watu wanaoishi kwa mgongo wake, ana ndugu hapa wanaomtazama kama inspirational.




Mtu kuwa public figure sio lazima umchafue sababu unajaribu kupona stress na maumivu unayopitia upande wako.
Acha kumtetea tunamjua vizuri juzi tu alikuwa mbezi kuna jamaa yuko benki anamla sana tu
 
Back
Top Bottom