Itakuwa ndivyo ilivyo mkuu mara nyingi watu kama hawa akili zao ni from street mzee, deals zao hazipo clean.... check hushpupi alivo kamatwa na ukwasi ule lazma utie wasi wasi, watu kama walivo kuwa kina ginimbi na ivan pesa zao sio clean......they spend like no tomorrow.
alafu misa ni malay sana mkuu pamoja na huddah monroe yule wa kenya japo shida yake camera zinambeba tu na makeup ila ni mbovu tu.
Nilitamanigi enzi hizo sio saivi lakini nimlege yule tunda nilikuwa namwelewa yule mtoto hatari maana alikuwa hot, sema saivi ashachacha gazeti la jioni, kwa sasa zipo toto kadhaa kama yule geeda na wenzake.....kuwala lazima utangaze dau, tena kama uko na dau na upo smart go street kwa DM zao au za watu kati afu watangazie dau, maneno mengi hawataki....
Misa kakiuza south kwa kina ivan, kina ginimbi wa zim, kawapa kina fally ipupa, nigeria ndiyo usiseme shootings zake kwenye mansions za kibabe, hush ashapiga misa walishutia video kwa house yake.
Pale zenji hotel verde zipo pisi za haja fresh and clean zinauza nyuchi kwa ngawira ndefu sana mataifa mbali mbali.....ila in privacy.