Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

Hawa ma celeb wa Tanzania uchafu huyu dada nilikuwa namuona ana akili lakini bure kabisa .

Huyu mwigizaji akijibu maswali ya waendesha kipindi cha Ubaoni cha Channel ya Sinema Zetu anasema live kuwa ana mume anaishi naye ila wapo wapo tu ila kama atapata mtu mwingine wataachana aolewe .

Huwa akili wanapeleka wapi akipigwa ngeta utasikia eti ukatili wa kijinsia

USSR
Huyo mumewe naye hamnazo!
Si afanye upesi kupiga chini hiyo kenge?!!
 
Amejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.

Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye

Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali
Kumbe hii dunia imejaa wajinga wengi sana, yani huyo fuska unamnunuwa kwa laki tatu wakati kuna sholi za ukweli Dau lao 50k tu.
 
Huyo mumewe naye hamnazo!
Si afanye upesi kupigia chini hiyo kenge?!!
Unajuwaje kama ni Marioo anaanzaje kwa mfano?

Halafu utakuta kama ni apartment basi ni ya mwanamke.

Kama mwanamke anakaa kwako akitoka kwenye hiyo interview hata ndani ya gari lako hapaswi kuingia unamrushia mabegi yake hukohuko nje.

Ni bora uwe single kuliko kuishi na takataka kama hiyo.
 
Amejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.

Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye

Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali
Oya Home boi
Yule Caren Simba vipi
 
Back
Top Bottom