Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Naam naamOkay Tajiri. Huna Baya Tajiri. Umepoaaaa, Umepoaaaa 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam naamOkay Tajiri. Huna Baya Tajiri. Umepoaaaa, Umepoaaaa 🤣🤣
Naam Madam.Naam naam
Namshukuru Mungu kwa hilo. Ni kwa Neema yake tuNaam Madam.
Madam Tajiri
Kifurushi chako ni Milioni
Wanaokupenda ni wengi, wanakuchukia wachache
Hizi laki laki unazipata kwa masaa
Wewe ni kiboko Kabisa
Madam wa Standards
Madam Tajiri
Madam Mihela
Madam Mafedha
Madam Maokoto
Madam mwenye Pesa zake mjini
Madam fanya sana Ibada.
Amina MadamNamshukuru Mungu kwa hilo. Ni kwa Neema yake tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Upo sirias au unatania? Yaani 2m
2,000,000/=
Elfu kumi ziwe mia mbili
Elfu tano ziwe mia nne unakataaa kutoa K?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au unaangalia "mazingira" kwanza pamoja na "usiri"
Hizi ni akili za Wazee waliomaliza kulipa ada, ikiwa bado unasomesha usijaribu kufanya hivyo 🤪🤣 Babu katika ubora wako
Sahihi kabisa Mkuu, wanasema always there is a price tag for everything japo confidentiality is a must🤣🤣
Huwa siamini kiviiile hasahasa wale wanawake wanaosema wanakataa. Huwa ishu ni mazingira na uwepo wa usiri. Kuna don mmoja alikaziwa na demu mmoja pisi kali(corporate lady) mwenye standards za juu. Watu tukaamini huyu Dada ana msimamo. Don yule alipanda dau mpaka 2.5m kumla kwa usiku mmoja tu, Dada wa Standards alikataa katakata, sasa Don yule akapanda pipa akarudi zake mkoani huko kwenye miradi yake.
Bwana wee kumbe baadae. Kwa usiri mkubwa yule Dada wa Standards, alipandishwa ndege na Don kimyakimya akapeleka K mkoani Kimyakimya. Siri ilikuja kujulikana Baadae mno shoga yake huyo Dada ndio aliitoa siri.
Kwa hiyo wapo wengine wanakaza kutokana na Mazingira au kukosekana kwa usiri. Sanasana wadada wa Standards
🤣🤣Hizi ni akili za Wazee waliomaliza kulipa ada, ikiwa bado unasomesha usijaribu kufanya hivyo 🤪
🤣Kaka watu wanajengea nyumba na kununulia gar malaya [emoji28]
Komba kwa lulu
Ndesambulo kwa .....
Liumba kwa warembo
Mbowe alihonga ubunge [emoji28]
Watu walihonga uwazir ukuu wa Wilaya NK
ILO shimo ni nouma mzee
Wadada wa standard wanapenda masponsor Konfidensho ili wapate STM (Sexually Transmitted MONEY) 🤣Sahihi kabisa Mkuu, wanasema always there is a price tag for everything japo confidentiality is a must