Omerta
JF-Expert Member
- Jan 3, 2016
- 5,957
- 7,505
😅😅😅 Nimecheka sanaNimezistudy sura zao nimebaki kufurahi!
Sura ya hakim umejaa bashasha na furaha,haina wasiwasi,ukiingalia vizuri Kabla hatujajua mipango yake tungesema Hakim kakamatika Sana na bi dada Yuko I love🤣🤣kumbe ulikuwa bashasha ya kutokuwa na wasiwasi wowote
Upande wa bidada sura yake imekaa kimkakati Sana yaani unamuona kabisaaa Kuna mipango kichwani mwake humo🤣bahati mbaya mission impossible