😅😅😅 Nimecheka sanaNimezistudy sura zao nimebaki kufurahi!
Sura ya hakim umejaa bashasha na furaha,haina wasiwasi,ukiingalia vizuri Kabla hatujajua mipango yake tungesema Hakim kakamatika Sana na bi dada Yuko I love🤣🤣kumbe ulikuwa bashasha ya kutokuwa na wasiwasi wowote
Upande wa bidada sura yake imekaa kimkakati Sana yaani unamuona kabisaaa Kuna mipango kichwani mwake humo🤣bahati mbaya mission impossible
@dronedHao baadhi wameshinda
Tatizo gnye zinaponza tuSure!sura ya mtu unaongea Sanaa!tena mtu mpya ndio utajua kabisa Kama ana Nia ovu au njema angalia macho yanasema kila kitu Ni vile tu watu huwa tunapuuzia kukubali ukweli
Yaani!unaona kabisa huu Sasa naupanda Ni mtumbwi wa kibwengo lakini unajifanya aaaaah nitafika tu salama mbele kwa mbele🤣🤣🤣🤣🤣🤣genye hiziiiiii@droned
Tatizo gnye zinaponza tu
Kweli aisee anatafuta kusikika tu nothing else.Hivi huwa unawaamini bongo movie mkuu?anatafuta kusikika huyo,maana hata huyo ndugu wa kuomba mln 22 Ni ndugu gani?amekuwa Mo yeye au Asas
Ndugu tumeshakusikia..“Hii ni mara ya sita kupigiwa simu na meseji nyingi kuniomba pesa.
Huyo ukute amelenga ndugu zake Sana Sana
Ila Hakimi ata miss hizo nyonyoKama kaka hakimi vile, Nae Hana kitu[emoji38]View attachment 2591717
Ha ha ha....sura ya kimkakati Tena[emoji1787]Nimezistudy sura zao nimebaki kufurahi!
Sura ya hakim umejaa bashasha na furaha,haina wasiwasi,ukiingalia vizuri Kabla hatujajua mipango yake tungesema Hakim kakamatika Sana na bi dada Yuko I love[emoji1787][emoji1787]kumbe ulikuwa bashasha ya kutokuwa na wasiwasi wowote
Upande wa bidada sura yake imekaa kimkakati Sana yaani unamuona kabisaaa Kuna mipango kichwani mwake humo[emoji1787]bahati mbaya mission impossible
Ha ha ha .....tunalipia ushuru wa mazingira [emoji1]Hawa viumbe baadhi yao ni majambazi kupitia neno mapenzi, ukichunguza vizuri yaani hata hupendwi wewe bali mfuko.
dronedrake amejikomboa kutoka huu utumwa.
mzabzab yeye anabadilishana nipe nikupe.
DeepPond yeye zaidi ya kodi ya meza na kulipia mahali pa kumchinjia mamajay basi mengine hataki kusikia.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simple mathematic aliyeomba ni yule bishoo muuza nguo pale kino mumewe wa zamani.Inawezekana vipi mtu baki tu akuombe M 22 kumalizia ujenzi wa nyumba yake kama siyo ndugu au mtu wako wa karibu sana.....???!!!
Anauza vijora kumbe?Kwa hela gani Kwa mfano?
Hizo za kuuza vijora?
Au kutoka kwenye kudanga?