Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Wanaume wa dar wamemsikiaWanaume wa daresalama njooni huku Kuna mbongo muvi anawasakama
Hivi kwa "tangazo" hilo naweza kupata mtu ninaye mhitaji? hahahahahaUnajua masihala sio mazur katika yaliyo seriozz jaman.....
Kama upo serioz tupo wengi....Hivi kwa "tangazo" hilo naweza kupata mtu ninaye mhitaji? hahahahaha
Una mdaresalamu nini umemfuga mkuu?Bora amesema
Washajaaa pm najuwa hawakosekaniii nahuja Unataka tuu WA kumfuga alafu unakuwa unamkamua maziwa Au unamla nyamANataka kijana wa kumfuga, but awe mahiri kwenye ile nyanja yetu pendwa!!!!ππ
HahahahahahaAchana na hawa wa dar ambao eti chapati moja hamalizi!
Njoo kwa Si wa mikoani
Hahahaa mko sawa ninyi was mikoanAchana na hawa wa dar ambao eti chapati moja hamalizi!
Njoo kwa Si wa mikoani
Kazi yake ni "kunipa maraha"Washajaaa pm najuwa hawakosekaniii nahuja Unataka tuu WA kumfuga alafu unakuwa unamkamua maziwa Au unamla nyamA
Wasubiri pm utashindwa weweNataka kijana wa kumfuga, but awe mahiri kwenye ile nyanja yetu pendwa!!!!ππ
oh.... I see.Parasite.
Mtu tegemezi, kula kulala kwa hisani ya anayemfuga.
Nitashindwa na nini mkuu naiman64?Wasubiri pm utashindwa wewe
Aaah OK me maraha Yapo Kama yote ila sitaki kufugwa, coz majani silagiiiiii alafu Kama ni kunifuga njoo Huku Miami[emoji23][emoji23]Kazi yake ni "kunipa maraha"