Shamsa Ford: Vijana wengi wa kiume wa Dar ni wambea, chawa na VibenTen.

hahaaa mumewe mwenyewe alikuwa mdananda ile mbaya ""enzi hiyo alikuwa mmachinga .k.koo"" chidy elimu aitoe wapi "" hata darasa la 7 kama alimaliza
 
Yaani hapo sio kwamba ale tu ugali wangu bure, ajue lazima anifikishe hadi kilele cha Mawenzi aau Kibo hahahahahaah
duuuhh..Nina rafiki yngu mcongo hii ndio taaluma Yke ngoja nimlengeshe kwako
 
Huyu naye mdangaji asituzingue [emoji57][emoji57]kavaa vinguo vifupii weeee kapata bwana wa kumuoa anajiona sasa ni "mama ushauri" aanze kuwafunda wadangaji wenzake wakina tunda gigy na wengine wa Instagram
 
Hahahaha
Kaaazi kweli kweli walahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…