Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ndio maana hutakaa usikie mtu anayemwamini sana Mungu eti ni mfanyabiashara wa madini.haitatokea
Chunguza hata hawa akina gwajima, mzee wa upako, marehemu rwekatale, mwamposa, masanja, mwingira etc wanafanya biashara tofautitofauti ila hutakaa usikie wanajihusisha na madini
Sio kweli...washirikina wengi wanakimbilia kutoa kafara za watu wao wa karibu kama watoto kwasababu ni raisi kuliko kumlia timing kichochoroni mtu usiyemjuaIngekua kupata pesa unamtoa mke basi tungekua tumefanya hayo kitambo,ushirikina wa damu inahusu damu yako ya kuzaa sio mke hata siku moja...angalia watu wote wenye pesa za ulonzi utaona kazika watoto na ndgu wakutosha ila sio mke
Wanaojulikana wanamwamini Mungu.ukweli anaujua Mungu mwenyeweMkuu, natanguliza samahani. Ni kwamba hii Orodha uliyotaja ni mfano wa watu wanaomuamini sana Mungu?
Kuna interview yake moja nilishtuka sana...walikuwa na tamasha daressalaam kipindi hicho mvua nyingi...akasema wameenda kwa mganga na wana uhakika siku ya tamasha mvua haitonyesha...muandishi akamuuliza uko serious au unatania? Akajibu nipo serious kwasababu I'm a true African...ngumu sana kutomshuku kwenye tuhuma kama hizi, ingawa binafsi siamini kama kamslaughter wife ake..."Tale" na "Kitale" ukiwasikiliza mahojiano yao, mara nyingi ni watu wanaoamini sana kwenye mambo ya Ulozi na Ushirikina.
Hata jambo likitokea ukaambiwa wameshiriki inakuwa ngumu sana kuwatetea.
Daaah! Hivi huwa mnawaza nini nyie watu?Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Sounds so sweet cuz' no one ever missed me, Princess D!! But hopeful uko poa!!
Ila kumbe anapata, mwanzoni ulisema hakuna Mtumishi wa Mungu anaweza kufanya hiyo biashara.Basi anapata ya hela kulia mboga.
Huwezi kuwa bilionea wa madini bila kuwa mshirikina
Baada ya mapambano makali ya CCM na CHADEMA saizi ni muda wa kuangalia movie maana tuliweka wasiwasi kwenye kila kitu ili kuhakikisha CHADEMA inapata walau wabunge wawili kwenye uchaguzi wa 2020.. Kwa vulumai zilizopo Mbeya ni muda ya SUGU kusaidia CCM ipite bila kupigwa maana naye amekamilisha miaka 10…Habari zilizotufikia punde ni kuwa mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Hamisi Tale au Babu Tale) aitwaye Shamsa Tale almaarufu kama Shammy Nails amefariki.
Pole kwa familia ya Babu Tale maana ameacha watoto wadogo.
View attachment 1490835
View attachment 1490828
hakuna mtumishi wa Mungu asiye na busarabnamna hii,katubu!!Mimi ni mtumishi wa Mungu. Tale ndo anaendesha maisha yake kwa kutumia waganga.
Na ushangae islamic kawekwa ndani ya jeneza la kikristo. [emoji102][emoji102][emoji102]Gari lililobeba mwili wa marehemu!mbona si kawaida
Washamtoa kafara, saivi dili zitakuja kwa kasi ya 5G+Mhh niliwah soma sehemu upande wa kina tale kunakuwa na vifo vya ajabu ajabu...rip dada
Fresh kabisa my...umepoteaSounds so sweet cuz' no one ever missed me, Princess D!! But hopeful uko poa!!
Unajua hakuna Siri duniani....muda ni jibu sahihiKuna interview yake moja nilishtuka sana...walikuwa na tamasha daressalaam kipindi hicho mvua nyingi...akasema wameenda kwa mganga na wana uhakika siku ya tamasha mvua haitonyesha...muandishi akamuuliza uko serious au unatania? Akajibu nipo serious kwasababu I'm a true African...ngumu sana kutomshuku kwenye tuhuma kama hizi, ingawa binafsi siamini kama kamslaughter wife ake...
Ila dea jaman tuache unafiki wee angalia reaction ya tale kweny huu msiba, yaan hata haoneshi kuguswa mda wote anazurura tu,Unajua hakuna Siri duniani....muda ni jibu sahihi
Kikubwa uzima tu.
Mambo ni mengiMkuu na mimi niliwahi kumwambia naona ile ID yako nyingine ya WJ umeiweka kando,akajibu hapana umenichanganya sina ID nyingine humu.
Lkn kwa 100% zinafanana.
Victoire upo sawa kweliHatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Dah nawe umeona kitu eehVictoire upo sawa kweli
Na observe sana comments zako nowadays naona hauko sawa
sure sure kabisa mkuu
ongea kama kuna shida tutakusaidia
Mimi ninayoVictoire upo sawa kweli
Na observe sana comments zako nowadays naona hauko sawa
sure sure kabisa mkuu
ongea kama kuna shida tutakusaidia