TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

Ina maana hakuelewa anaumwa ugonjwa gani, labda mauzauza...JoJo ile post yake mmh[emoji848]
 
Mbaya zaidi mkewe alijua kuwa lazima atolewe kafara ndio maana aliacha kabisa press, ili wanaobaki wajue namna gan wawa protect wanae, tale sio mtu mzuri kabisaa, ndugu wasipokua makini atamaliza wanae wotee maana hakutakua na kipingamizi kwake.
Duuuuh,ila lisemwaloo mmh
 
Hakika umesema.
Kuna watu msiba unaanza wakati wa kutupia udongo jeneza au kutoka makaburini
 
Kamuulize makonda kipi kilimsibu shammy hadi akaenda kwake kuomba protection ya wanae km akifariki, tena kwa msititizo juu pa1 na mam keegan.
Na wakati huo alikuwa mgonjwa. Tusichoshane bhana khaaaaah.
Wewe ulikuwepo?
 
Ila za ulozi waga hazidumu na zina masharti kibao...kuna tajiri mmoja wa njombe ana mahotel na mabus ya kutosha aligongwa na gari wakati anasukuma mkokoteni kariakoo, akadead...alikuwa anapeleka mizigo kwenye bus lake
Mkokoteni?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nimeona wako wana dance msibani sijuw wajuba ao dini gani ..anyway let the think be how is
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…