Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzee wamempa umaarufu sana,Kipigo ni dalili ya mwisho wa kifikiri ya akili katika kutatua tatizo.
Hivyo inaonyesha hapo ndipo waliishia katika kutafakari yaliyosemwa.
Apigwe tu kwani kukodisha ndio kuuzwa? Kwanza baba yake alikua puppet wa usultani. Kama ni makaburi kakatazwa kuhamisha?Baraka Shamte ni mwanasiasa nguli visiwani Zanzibar ambae pia ni mtoto wa Waziri mkuu wa Kwanza wa Zanzibar, Mohammed Shamte amesema Rais wa sasa wa visiwa hivyo, Hussein Mwinyi hatoshi kuendelea baada ya miaka yake mitano kwisha.
Shamte amesema miaka yake mitano inakwisha na kurudia kosa ni matatizo ilhali katiba ya chama na nchi hamna inayosema Rais lazima atawale miaka 10.
Shamte ameendelea kusema CCM kikiwa makini yatatokea kama ya Idriss Abdulwakil ambae baada ya miaka mitano akaambiwa apishe na kutafutwa Rais anaefaa. Shamte amesema yeye anasema wazi yeye kama Baraka na hata uchaguzi uliopita alikiheshimu chama.
Jana Shamte akafutwa Uanachama na kupata kipigo kutoka kwa watu wasiojulikana.
CCM Chama Kikongwe lakini inashindwa KUKUBALI UKWELI KATIBA inasema Rais atatawala kwa MIAKA 5Baraka Shamte ni mwanasiasa nguli visiwani Zanzibar ambae pia ni mtoto wa Waziri mkuu wa Kwanza wa Zanzibar, Mohammed Shamte amesema Rais wa sasa wa visiwa hivyo, Hussein Mwinyi hatoshi kuendelea baada ya miaka yake mitano kwisha.
Shamte amesema miaka yake mitano inakwisha na kurudia kosa ni matatizo ilhali katiba ya chama na nchi hamna inayosema Rais lazima atawale miaka 10.
Shamte ameendelea kusema CCM kikiwa makini yatatokea kama ya Idriss Abdulwakil ambae baada ya miaka mitano akaambiwa apishe na kutafutwa Rais anaefaa. Shamte amesema yeye anasema wazi yeye kama Baraka na hata uchaguzi uliopita alikiheshimu chama.
Jana Shamte akafutwa Uanachama na kupata kipigo kutoka kwa watu wasiojulikana.
Kwani Umoja Party inakuja kugombana na Rais aliyeko madarakani?Huyu Shamte anatufaa Sana umoja party
Pascal Mayalla vipi huu si ukangaroo?! Tunaambiwa huyu mzee amefukuzwa uanachama mara moja bila hata kujadiliwa na kikao chochote cha CCM hata walau ngazi Shina.Hapa huwezi kumsikia Pascal Njaa anatetea
Hawezi kujibu.Pascal Mayalla vipi huu si ukangaroo?! Tunaambiwa huyu mzee amefukuzwa uanachama mara moja bila hata kujadiliwa na kikao chochote cha CCM hata walau ngazi Shina.
Ndiyo ujue kapewa mzigo na COVID 19Pascal Mayalla vipi huu si ukangaroo?! Tunaambiwa huyu mzee amefukuzwa uanachama mara moja bila hata kujadiliwa na kikao chochote cha CCM hata walau ngazi Shina.
Yule mwandishi nguli anaedai kuwa pia ni mwanasheria ndie anaejua vizuri zaidi hizi taratibu zao nzuri, vizuri zaidi. Labda ndio anajianda kutuelimisha.Kwanini wamempiga kumvua uanachama ingetosha chama cha kijani hakipendi hoja mbadala
Yupo ataishia kulike na kupotea, ni mtu wa hovyo snYule mwandishi nguli anaedai kuwa pia ni mwanasheria ndie anaejua vizuri zaidi hizi taratibu zao nzuri, vizuri zaidi. Labda ndio anajianda kutuelimisha.
CCM imejaa wtu wa hovyo snWakuu
Dr. Husein Mwinyi kategwa kategeka!!?
Yale yale ya Ndugai na ishu ya mikopo na kuuzwa NCHI!
Angejuliza nani kamtuma huyu Mzee!!?
Halafu angekaa kimya tu!
Kwanini kakurupuka kama Dada yake wa huku Bara!!?
Nimekumbuka bi hangaya alipochanganywa na Gazeti la Uhuru mwaka jana na kuingia kingi!!!akacheza boko ambalo Hadi leo linamtafuna!!
Mbona we Mwinyi ni mzoefu kabisa tena umehudumu WIZARA ya ulinzi KWA miaka Mingi Sana!!?
Ina Maana imeshindwa kuifungua code Hadi umeingizwa cha kike HIVI!!?
Tarajia vita kubwa ya urais huko visiwani kuanza KWA Kasi Sana!!kama huku Bara!
Utachezeshwa sebene Hadi utakubali!
Ungekuwa smart kwa kutambua kuna hisia za nchi inaongozwa na Watoto wa familia Moja!Sasa Ndio utasikia ukipingwa wazi kabisa tena na wengi!!!
Watajitokeza wengi utawavunja MIGUU wangapi!!?
Kafukuzwa akiwa hospitali bila hata kusikilizwaCCM Chama Kikongwe lakini inashindwa KUKUBALI UKWELI KATIBA inasema Rais atatawala kwa MIAKA 5
kwanini UCHAGUZI unaofuata Wanachama Wanazuiwa
wa Kugombea huo ni UDIKTETA Mzee kasema KAFUKUZWA Uanachama
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Ni mnafiki mkubwa, ukangaroo ukifanyika ccm waziwazi hauoni, anakaza fuvu na covid-19Pascal Mayalla vipi huu si ukangaroo?! Tunaambiwa huyu mzee amefukuzwa uanachama mara moja bila hata kujadiliwa na kikao chochote cha CCM hata walau ngazi Shina.