Shamte: Katiba ya nchi haijasema 'Head of State' atawale miaka 10, miaka mitano ikiisha tutafute Rais mwingine lakini siyo huyu

Maana yangu ni kuwa RAIS ajaye bara baada ya huyu bara au visiwani watoke ktk family za kawaida asiwe wa MBELEKO. Amen
 
Huu ni Uongo wa hali ya juu. Hakuna ushahidi wowote na ni maneno tu kama yalivyo maneno mengine.
Amkaaa amkaa jamaa anapiga hela tu, mdomo mtupu anawapiga wazanzibari toka ameingia madarkani watu wanakusanya makodi hakuna maendeleo yoyote aliyoleta zaid ya kujenga masoko mradi ambao yeye kuna shea yake anakula balaaa, habari zipo kitamboo sana
 
sanamu la huyu mzee liwekwe wapi?
 
watu wasiojulikana;;;;;;;nimeupenda huo msamiati wa ccm wa kifedhuli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…