richaabra
JF-Expert Member
- Jul 12, 2016
- 1,472
- 3,511
Wanaume wa Tanga kwa kupenda mitelezo hamjambo, mwenzenu kakimbilia kwa bibi yake kisa hela, kazi hamtaki kufanya mnataka kuteleza tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ningekuwa Diamond walahi huyu shamte ningemtimua maana anamdanga mama Dai live live[emoji16][emoji16]
Wanaume wa Tanga,Lindi kazi hampendi mkija mjini msingi kiuno
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ningekuwa Diamond walahi huyu shamte ningemtimua maana anamdanga mama Dai live live[emoji16][emoji16]
Wanaume wa Tanga,Lindi kazi hampendi mkija mjini msingi kiuno