Shamte si mtu wa Tanga ni wa Morogoro. Dai atamfukuza mtu anaempa mama yake usingizi?
Wa Morogoro hatupo hivyo. Huyo atakuwa mhamiaji haramu.Shamte si mtu wa Tanga ni wa Morogoro. Dai atamfukuza mtu anaempa mama yake usingizi?
Hivi wewe ni lini unanipa mwanya nikupe angalo usingizi wa mang'amung'amu?Shamte si mtu wa Tanga ni wa Morogoro. Dai atamfukuza mtu anaempa mama yake usingizi?
Una ushahidi kwamba wanaume wa Lindi hatupendi kazi mkuu..?Wanaume wa Tanga kwa kupenda mitelezo hamjambo, mwenzenu kakimbilia kwa bibi yake kisa hela, kazi hamtaki kufanya mnataka kuteleza tu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ningekuwa Diamond walahi huyu shamte ningemtimua maana anamdanga mama Dai live live[emoji16][emoji16]
Wanaume wa Tanga,Lindi kazi hampendi mkija mjini msingi kiuno
Amezingua sana,hajui yeyr katoka wapi kabla ya kuwa hapoo..Kijana katukana mama za watu View attachment 1148943
Hii hapaWeka picha
Nani katukana mama za watu ?Kijana katukana mama za watu View attachment 1148943
Hivi kwanini mnakuwa wazito wa kufanya analysis. Hapo ushaamini kwamba aliyeandika hapo ni Diamond.Amezingua sana,hajui yeyr katoka wapi kabla ya kuwa hapoo..
Huwenda alikuwa mbeba zege,tofali n.k..
Kumbe Bi Sandra ana 50? Shamte ana 38.
Heeee yaani kabisa media imeandika hivi. ...!!!!! Wanasahau kuwa hao wa beba matofali ndio wapenzi wa muziki wao ....Kijana katukana mama za watu View attachment 1148943