Usiforce tufanane, mm ndio nipo hivyo sipend hayo mavitu, na Mara zote wqvaao hivyo ni malaya na ukichunguza waliambiana na wenzao Malaya kuwa ukivaa hivyo unamvutia mwanaume , jiulize awavutie wanaume wangapiUna roho machafu weye sio bure
Labda after Jogging au Aerobics wakati wanaogawife nae kajuaje majority wana shanga??
Shanga au siku hizi kuna cheni za kiunoni.. huwa urembo ikiwa Mwanamke awe na kiuno flani cha kubonyea... Hata ukimuweka chuma mboga unaona mashimo yote mawili..
Kinyume na hapo wale wenye vitambi, na mabonge bonge hizo shanga zinawafanya waonekane kama waganga wa kienyeji..
Pata mtaalam wa hivyo vitu atakuonesha..
Usiforce tufanane, mm ndio nipo hivyo sipend hayo mavitu, na Mara zote wqvaao hivyo ni malaya na ukichunguza waliambiana na wenzao Malaya kuwa ukivaa hivyo unamvutia mwanaume , jiulize awavutie wanaume wangapi
😁😁😁😁Shanga au siku hizi kuna cheni za kiunoni.. huwa urembo ikiwa Mwanamke awe na kiuno flani cha kubonyea... Hata ukimuweka chuma mboga unaona mashimo yote mawili..
Kinyume na hapo wale wenye vitambi, na mabonge bonge hizo shanga zinawafanya waonekane kama waganga wa kienyeji..
Acha kutaja uislam kwenye upuuzi wenu..koma dogoHizo Ni tamaduni Za waswahili aka waislam...tuwaulize wao
Kwani uongo?? Unamjua mkristo anaevaa shanga?Acha kutaja uislam kwenye upuuzi wenu..koma dogo
Mm ni mkristu lakin ulichosema hakina uhusiano wowote na dini/iman ya mtu. Shanga ni tamaduni tu isiyohusiana na dini.Kwani uongo?? Unamjua mkristo anaevaa shanga?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shanga au siku hizi kuna cheni za kiunoni.. huwa urembo ikiwa Mwanamke awe na kiuno flani cha kubonyea... Hata ukimuweka chuma mboga unaona mashimo yote mawili..
Kinyume na hapo wale wenye vitambi, na mabonge bonge hizo shanga zinawafanya waonekane kama waganga wa kienyeji..
Hbr bila picha hainogi.Hebu Weka Kapicha Ka Shemeji yetu akiwa hajavaa shanga,na Kapicha kengine ka mtumishi mwenzake na Shemeji akiwa amevaa shanga ili tulinganishe.Salama wakuu.
Naleta Uzi huu kwenu mnipe ushauri napata shida kufikiri Sana kwamba shanga zinaongeza mahaba kwa mwanamke kivipi?
Au zimewekewa ashiki kuwa mwanaume akiziona dushe linatuna na mahaba kedekede siyo mzoefu na kifupi sijawahi kula mwanamke wa shanga.
Na shinikizo linakuja kwa watu wanaomzunguka wife yaan ofisin kwao wanawake majority Wana shanga, nikapata swali dogo kwamba akivaa siyo ikawa ngome ya majini mahaba?
Matusi siyo sehemu yake na kama no bathing better kupita kwenye Uzi huu.
Asanten wakuu.
Hakuna mjita Wala msabato anaevaa shanga..msabato hata Pete au cheni Tu havai sembuse shanga??Mm ni mkristu lakin ulichosema hakina uhusiano wowote na dini/iman ya mtu. Shanga ni tamaduni tu isiyohusiana na dini.
Njoo huku kwa wajita wengi wanazo na nimaeneo ambayo ukristu hasa usabato umetawala
Ulishawavua wote ukawaona? Pete ni kitu kilicho wazi tofautisha pete na shanga.Hakuna mjita Wala msabato anaevaa shanga..msabato hata Pete au cheni Tu havai sembuse shanga??