Shangilieni Ushindi wenu wa 'Kichawi' na 'Fluku', ila sasa 'mtakamuliwa' Pesa kama hivi hadi mkome

Shangilieni Ushindi wenu wa 'Kichawi' na 'Fluku', ila sasa 'mtakamuliwa' Pesa kama hivi hadi mkome

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Klabu ya Yanga imepigwa faini ya Sh3 milioni kwa makosa manne ikiwemo kutumia mageti ya uwanja wa Uhuru kuingia Uwanja wa Benjamin Mkapa badala ya mlango maalum.

Pia imetakiwa kulipa Sh850,000 ikiwa ni gharama ya ukarabati wa mageti yaliyovunjwa wakati wakiingia uwanjani pamoja na makufuli ya uwanja wa Mkapa.

Chanzo: mwanaspoti_tz

TFF tafadhali katika Mkutano wenu ujao katika AGENDA zenu GENTAMYCINE nawaomba mje na Sheria Kali kuwa Timu inayogoma kupita katika Geti Kuu (Maalum) itatozwa Faini ya Shilingi Bilioni Moja (1) na Kukatwa Alama (Points) Tatu (3) ili iwe Fundisho kwa Wapuuzi kama hawa wa mitaa ya Jangwani na Twiga.

Nina Hasira mno nami mtanikoma huko Kigoma Kudadadeki zenu. Mwanaume 'Hatairiwi' mara mbili na tutaheshimiana tu huko Kigoma hiyo tarehe 25 July, 2021.
 
million 4 kasoro ni faini lakini mapato ya siku tarehe 3 ni makubwa sana +ushindi+kuwapa furaha mashabiki, sidhani kama Yanga watalalamika.
 
Mkuu Gentamycine ukienda Kigoma usimsahau kwenda na yule Mganga Mwanamke wa Timu ya TP Mazembe kutoka DRC mwenye Nyonyo moja ili uwakamue vizuri Wananchi.
 
million 4 kasoro ni faini lakini mapato ya siku tarehe 3 ni makubwa sana +ushindi+kuwapa furaha mashabiki, sidhani kama Yanga watalalamika.
Yanga hana chao kwenye mauzo ya tiketi. Mapato yote yalienda Msimbazi kwa kuwa alikuwa mwenyeji.

Kalipeni Million 3.85 huko.
 
Hii bodi ni takataka, mechi ya Simba na yanga ambayo Kagere alipewa penati walimwadhibu mwamuzi lakini mechi ya simba na yanga ambayo Kisinda alifanyiwa faulo nje ya penati tena kulikuwa na waamuzi sita na simba kunyimwa penati waamuzi hawakufanywa chochote, mechi ya juzi Simba kanyimwa penati mbili za wazi mwamuzi hajafanya chochote lakini mechi yoyote ambayo simba wanacheza lakini kuna matukio yenye utata wa kuinufaisha Simba wanakuja na kutoa adhabu mara moja.
Piaa uongozi wa Simba umejaa watu mbumbumbu kwanini wanashindwa kuongelea haya mambo wakati yako wazi, madhambi yote mawili yalitendeka mbele ya mwamuzi wajue wakiendelea kukaa kimya siku washabiki watachukua hatua na adhabu kubwa itaenda kwa timu.
 
Hii bodi ni takataka, mechi ya Simba na yanga ambayo Kagere alipewa penati walimwadhibu mwamuzi lakini mechi ya simba na yanga ambayo Kisinda alifanyiwa faulo nje ya penati tena kulikuwa na waamuzi sita na simba kunyimwa penati waamuzi hawakufanywa chochote, mechi ya juzi Simba kanyimwa penati mbili za wazi mwamuzi hajafanya chochote lakini mechi yoyote ambayo simba wanacheza lakini kuna matukio yenye utata wa kuinufaisha Simba wanakuja na kutoa adhabu mara moja.
Piaa uongozi wa Simba umejaa watu mbumbumbu kwanini wanashindwa kuongelea haya mambo wakati yako wazi, madhambi yote mawili yalitendeka mbele ya mwamuzi wajue wakiendelea kukaa kimya siku washabiki watachukua hatua na adhabu kubwa itaenda kwa timu.
Basi ni 2-- kwa 1
Tunafumua mshono tarehe 25
 
Mzee Mpili Ndiyo Wanayemsikiliza 😃😂😁😀😄😅😆😃😂
 
Kama wachezaji na benchi la ufundi walipewa M 500 wakagawana, watashindwaje kulipa Milioni 3 tu?
 
Mil 3 nayo ni hela? Ukilinganisha na furaha tuliyopata hiyo siku? Hiyo fain mashabiki tu tunaweza kuilipa.
 
Klabu ya Yanga imepigwa faini ya Sh3 milioni kwa makosa manne ikiwemo kutumia mageti ya uwanja wa Uhuru kuingia Uwanja wa Benjamin Mkapa badala ya mlango maalum.

Pia imetakiwa kulipa Sh850,000 ikiwa ni gharama ya ukarabati wa mageti yaliyovunjwa wakati wakiingia uwanjani pamoja na makufuli ya uwanja wa Mkapa.

Chanzo: mwanaspoti_tz

TFF tafadhali katika Mkutano wenu ujao katika AGENDA zenu GENTAMYCINE nawaomba mje na Sheria Kali kuwa Timu inayogoma kupita katika Geti Kuu (Maalum) itatozwa Faini ya Shilingi Bilioni Moja (1) na Kukatwa Alama (Points) Tatu (3) ili iwe Fundisho kwa Wapuuzi kama hawa wa mitaa ya Jangwani na Twiga.

Nina Hasira mno nami mtanikoma huko Kigoma Kudadadeki zenu. Mwanaume 'Hatairiwi' mara mbili na tutaheshimiana tu huko Kigoma hiyo tarehe 25 July, 2021.
Mnatia huruma...NI UZUNI KWAKWELI [emoji24][emoji24][emoji24]
 
million 4 kasoro ni faini lakini mapato ya siku tarehe 3 ni makubwa sana +ushindi+kuwapa furaha mashabiki, sidhani kama Yanga watalalamika.
Mapato yalienda simba au yanga ,Nani alikuwa mwenyej had uzungumzie mapato?
 
Klabu ya Yanga imepigwa faini ya Sh3 milioni kwa makosa manne ikiwemo kutumia mageti ya uwanja wa Uhuru kuingia Uwanja wa Benjamin Mkapa badala ya mlango maalum.

Pia imetakiwa kulipa Sh850,000 ikiwa ni gharama ya ukarabati wa mageti yaliyovunjwa wakati wakiingia uwanjani pamoja na makufuli ya uwanja wa Mkapa.

Chanzo: mwanaspoti_tz

TFF tafadhali katika Mkutano wenu ujao katika AGENDA zenu GENTAMYCINE nawaomba mje na Sheria Kali kuwa Timu inayogoma kupita katika Geti Kuu (Maalum) itatozwa Faini ya Shilingi Bilioni Moja (1) na Kukatwa Alama (Points) Tatu (3) ili iwe Fundisho kwa Wapuuzi kama hawa wa mitaa ya Jangwani na Twiga.

Nina Hasira mno nami mtanikoma huko Kigoma Kudadadeki zenu. Mwanaume 'Hatairiwi' mara mbili na tutaheshimiana tu huko Kigoma hiyo tarehe 25 July, 2021.
Wewe ulipakuliwa kimono cha nguruwe.
 
Back
Top Bottom