Shangwe analopewa Diamond ni tofauti kabisa na Ali Kiba

Franky Samuel

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2018
Posts
5,195
Reaction score
13,785
Nimekuwa nikifuatilia mikutano mingi ya kampeni na bahati nzuri mahasimu wawili kwenye mziki wa Bongo Fleva (Diamond na Alikiba) wamekuwa wakikutanishwa kwenye jukwaa moja lakini ukiangalia shangwe analopewa Diamond ni tofauti kabisa na analopewea kaka yake Alikiba.

Kiba jukwaani amepooza hata akiimba anajikuta anaimba pekee yake
 
Mwenzako anachoangalia ni ngawira na si hayo mashangwe yenu

Hata wamshangilie vp huyo simba cjui swala lakini malipo niyale yale anayopewa yeye mond na Alikiba

Ingekuwa mwitikio wa mashabiki ndiyo malipo hapo sawa ila mashabiki hawamlipi
 
wabongo ni wagumu sana kuelewa, mwenyewe ashasema hapendi sho ofu kwa nini mnamlazimisha awe kama wanaozipenda? tubadilike
 
Kiba ashaimba na R Kelly, kwahiyo mambo madogo madogo kama hayo hayamsumbui
 
Mwenzako anachoangalia ni ngawira na si hayo mashangwe yenu

Hata wamshangilie vp huyo simba cjui swala lakini malipo niyale yale anayopewa yeye mond na Alikiba

Ingekuwa mwitikio wa mashabiki ndiyo malipo hapo sawa ila mashabiki hawamlipi
Una uhakika malipo Ni sawa??
 
Huwa nawashangaa sana wanaojipa kazi ya kuanza kumlinganisha Kiba na Mondi! Maana ni kazi sio kidogo. Kuna tofauti kubwa mno kati ya hawa watu. Tukubali tu, mwenye heshima yake apewe!
 
Mwenzako anachoangalia ni ngawira na si hayo mashangwe yenu

Hata wamshangilie vp huyo simba cjui swala lakini malipo niyale yale anayopewa yeye mond na Alikiba

Ingekuwa mwitikio wa mashabiki ndiyo malipo hapo sawa ila mashabiki hawamlipi
Hebu leta hapa hiyo mikataba ya malipo,uwathibitishie hawa watu.
 
Ngoja niifukunyue mkuu[emoji16][emoji16][emoji16]
Ukiangalia hizo show msanii anayefunga show Ni diamond level ya diamond Ni kubwa Sana than kiba so hawawezi kulipwa sawa labda uingize ushabiki.
 
Mwenzako anachoangalia ni ngawira na si hayo mashangwe yenu

Hata wamshangilie vp huyo simba cjui swala lakini malipo niyale yale anayopewa yeye mond na Alikiba

Ingekuwa mwitikio wa mashabiki ndiyo malipo hapo sawa ila mashabiki hawamlipi
Hapana....hawawezi kulipwa sawa sababu tofauti yao ni i Kama nyau na tembo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…