Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
Aisee kweli kaka mkuu sisi ngoz nyeusi kubadilika ni ngumuThis how black man we made it
What are you trying to say?This how black man we made it
Huyu ni MPUMBAVU kwani watoto waliomba kuzaliwa? Starehe zake na hawara yake ndiyo zimeleta mimba na hatimaye watoto unless awarudishe walikotokaMIMI NDIO TAJIRI WATOTO WANGU WATAFUTE PESA ZAO
Nyota wa zamani wa #NBA , #ShaquilleRashaunO'Neal amewachana watoto wake sita kuwa Pesa alizonazo na Utajiri alionao sio wao bali ni wa kwake hivyo na wao wajitafutie pesa zao.
Mpaka sasa Shaq anakadiriwa kuwa na utajiri wa zaidi ya Sh.Trilioni 1 na anaamini kuwa pesa hizo amezitafuta yeye na sio watoto wake kauli yake kwa watoto wake ni "Sisi sio Matajiri, Mimi ni Tajiri" kauli ambayo watoto wake hawapendezwi nayo.
Aliyekwambia nyumba ni utajiri n naniTafuteni mali zenu, sio kukaa kaa kutolea macho nyumba ya babu yenu Kariakoo, pumbavu sana…
Sisi tuna roho mbaya ndio asili yetuMIMI NDIO TAJIRI WATOTO WANGU WATAFUTE PESA ZAO
Nyota wa zamani wa #NBA , #ShaquilleRashaunO'Neal amewachana watoto wake sita kuwa Pesa alizonazo na Utajiri alionao sio wao bali ni wa kwake hivyo na wao wajitafutie pesa zao.
Mpaka sasa Shaq anakadiriwa kuwa na utajiri wa zaidi ya Sh.Trilioni 1 na anaamini kuwa pesa hizo amezitafuta yeye na sio watoto wake kauli yake kwa watoto wake ni "Sisi sio Matajiri, Mimi ni Tajiri" kauli ambayo watoto wake hawapendezwi nayo.
Lazima tutoleee macho Mali za wazazi wetuTafuteni mali zenu, sio kukaa kaa kutolea macho nyumba ya babu yenu Kariakoo, pumbavu sana…
Jack chan amemuambia mwanae atorithi hata sent tano yakeAisee kweli kaka mkuu sisi ngoz nyeusi kubadilika ni ngumu
Hiv unadhaa watoto uli uwape mali?Asingezaa tabu yote ya Nini.
Tafuta mali zako mtoto wa kiumeHuyu ni MPUMBAVU kwani watoto waliomba kuzaliwa? Starehe zake na hawara yake ndiyo zimeleta mimba na hatimaye watoto unless awarudishe walikotoka
Mbona hasira sana kwa mambo madogo basi mali zako ukifa watoto wako watakuzika nazo kwenye kaburi na jeneza lako,, vipande vya magari, nyumba, madirisha, nguo, fedha, saa , mabati ya alaf, nondo, n.k..hapo vipiTafuteni mali zenu, sio kukaa kaa kutolea macho nyumba ya babu yenu Kariakoo, pumbavu sana…