MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mkuu kibubu sitakaa nirudie! Kulikuwa na kibubu kinatolewa na NMB miaka ya nyuma. Kila siku nikawa naweka hela yoyote inayobaki kwenye matumizi ya siku na nikafanya kwa uaminifu kwa muda wa mwaka mzima. Siku moja nikakihamisha halafu nikasahau nilipokiweka, wee nusura nizimie! Sasa hivi jukumu hilo nimemwachia mama watoto amefungua akaunti ya malengo. Huko kila siku anapeleka elfu 30 kutoka kwenye Biashara! Hii ni njia salama kabisa!
Hebu tupe faida yake Mkuu, vipi kuhusu,Mimi naweka malengo account ya NBC Kila mwezi nakatwa direct kutoka kwenye mshahara kwa mwaka mzima imenisaidia sana.njia ya vibubu ilinishinda nilikua navunja kabla sijafikisha malengo.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mimi naweka malengo account ya NBC Kila mwezi nakatwa direct kutoka kwenye mshahara kwa mwaka mzima imenisaidia sana.njia ya vibubu ilinishinda nilikua navunja kabla sijafikisha malengo.
Nitaijaribu hii mana nilikua naweka sarafu kwene mkoba mbona ilinishinda[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kumbe tupo wengi?
Mimi nina idea nyngine ila ni kam kibubu
Ila ii ni kwa ajili ya kutunza sarafu
Usitupe kopo LA pafyumu ukishamaliza matumiz zen toboa tundu kwa juu la kuwezesha kupita sarafu na weka sarafu mpaka lijae na litajaa haraka natumai mpak linajaa basi kopo LA pili LA pafyumu litakua limeisha
Apo iyo hela ya kopo LA kwanza itakusaidia kweny matumizi madogo zen unaanza kuweka LA pili
Malengo account haina makato yoyote ingawa sijafatilia wakati wa kutoa Pesa kama nilikatwa chochote.mara nyingi sms zinazoingia toka bank ni faida wanayoingiza japo ni ndogoHebu tupe faida yake Mkuu, vipi kuhusu,
- Makato ya kila mwezi
- Account Maintainance Charges
- ATM charges PLUS Salio request charges
- Kodi
- Withdrawal charges
- Processing fees ?
Au ndo yale ya kuweka Tsh 100,000 baada ya mwaka unakuta kuna Tsh 75,000/- ???
Ii IPO San tena haina haja ya kuwa na haraka saan ,cha msingi unasubir mpak pafyumu iishe ndo unapasua ile ya kwanza zen inakua endelevu sasNitaijaribu hii mana nilikua naweka sarafu kwene mkoba mbona ilinishinda
Sio salama pia, bank ikizingua utaambulia mil. 1.5 tu.Mkuu kibubu sitakaa nirudie! Kulikuwa na kibubu kinatolewa na NMB miaka ya nyuma. Kila siku nikawa naweka hela yoyote inayobaki kwenye matumizi ya siku na nikafanya kwa uaminifu kwa muda wa mwaka mzima. Siku moja nikakihamisha halafu nikasahau nilipokiweka, wee nusura nizimie! Sasa hivi jukumu hilo nimemwachia mama watoto amefungua akaunti ya malengo. Huko kila siku anapeleka elfu 30 kutoka kwenye Biashara! Hii ni njia salama kabisa!
Hongera hujawahi kutana na changamoto zozote zile ?mie nina mbinu ambayo naitumia katika kazi kama za ujenzi ambayo uwa sifanyi saving kama hizi mlizozizoea za kuweka fedha kwenye kibubu au mpesa. Nachofanya ni kuandaa ramani na kisha makadirio ya ujenzi (BoQs) kisha nongea na wauza vifaa nakuwa napeleka fedha kidogo kidogo zikikamilika nachukua vifaa kuanzia msumari, nondo mpk cement uwa nafanya hivi. Kwa kweli imenisaidia mpaka sasa nimekuwa kimasamaki Fulani hivi nyumba Zaidi ya nne
kwa mfanya biashara au mjasiriamali hawezi weka pesa benki miaka mitano bila kutoa, huko ni kukosa akili ya fedha. Pesa inatakiwa izalishwe, hiyo hesabu uliyopiga ww kwa mtu smart ndani ya miaka mitano inatakiwa awe na shilingi 150M hadi 300M.
Mpk USD ipande mara mbili yake si miaka kadhaa itapita. Nashauri mtu awekeze kuliko kuweka pesa isiyozaaPia change us dola kaa nazo ikipanda change unaweza pata Mara mbili yake na nusu
Hahah Aisee unaweza kushangaa hapo ndani umefungua kakiwanda kadogo kakukusanyia makopo ya pafyumu vyenye vitobo juu aisee.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kumbe tupo wengi?
Mimi nina idea nyngine ila ni kam kibubu
Ila ii ni kwa ajili ya kutunza sarafu
Usitupe kopo LA pafyumu ukishamaliza matumiz zen toboa tundu kwa juu la kuwezesha kupita sarafu na weka sarafu mpaka lijae na litajaa haraka natumai mpak linajaa basi kopo LA pili LA pafyumu litakua limeisha
Apo iyo hela ya kopo LA kwanza itakusaidia kweny matumizi madogo zen unaanza kuweka LA pili
Pia change us dola kaa nazo ikipanda change unaweza pata Mara mbili yake na nusu
Inategemea na hali yakoHehehe sasa dhahabu ya hereni nayo utaiita ni dhahabu.
NJIA NZURI YA KUHIFADHI PESA NI KUWEKEZA. Kila upatapo ziada wekeza kwenye biashara ndogo ndogo. Wahenga wa zamani wanasema ndo ndo ndo si chururu.
Mshahara wako unaingilia bank hiyo hiyo ?Malengo account haina makato yoyote ingawa sijafatilia wakati wa kutoa Pesa kama nilikatwa chochote.mara nyingi sms zinazoingia toka bank ni faida wanayoingiza japo ni ndogo
Mimi siweki kwa ajili ya faida isipokua kutunza hela tu kwa lengo la kufanya kitu kikubwa kwa wakati nilioupanga
Nilishawahi kuwa na kibubu cha mbao nikakivunja baada ya wiki. Hata hakukuwa na pesa ya maanaKibubu. I appreciate this petty box