Share Idea yako unayotumia kuweka akiba

Kwahiyo tusi-save?

Naomba na mm niku- Challenge! Mtu ambae katoboa katika maisha anatakiwa-awe na nini?.


# Kwanza kabisa kaaa ukijua akiba zinatofautiana kuna wengine ni wajasiriamali wadogo huweka milion 1 kwa mwaka kama akiba.

# Na kuna wengine wafanya biashara wakubwa huweka akiba ya milion 20 kwa mwaka.


Kwahiyo katika hayo makundi mawili anaeweka milion 20 kwa mwaka lazima atoboe, kwasababu katika hiyo akiba yake ndani ya miaka 4 anaweza kufanya mambo makubwa.


Na mjasiriamali mdogo nilazima apigane kufa na kupona ili kuikuza biashara yake katika hiyo akiba aifanyie ubunifu ili akuze mtaji afikie hatua ya kuweka akiba kubwa ili afanye mambo makubwa


Umenielewa mkuu?
 
kaelewa bhana ...

kama hakuelewa mbishi tu
 
hajui kama wanaoweka akiba wenye kujitambua wanakusanya mtaji wa kufanya jambo kubwa ili ndo wafikie hayo malengo ya kutoboa na sio kama anavyojadili yeye
kweli kabisa mkuu
 
kwa mfanya biashara au mjasiriamali hawezi weka pesa benki miaka mitano bila kutoa, huko ni kukosa akili ya fedha. Pesa inatakiwa izalishwe, hiyo hesabu uliyopiga ww kwa mtu smart ndani ya miaka mitano inatakiwa awe na shilingi 150M hadi 300M.
Wala sio kukosa akili. Kila mtu ana uwezo wake wa kufanya mambo.

Kama una ushauri ndio uungwana...
 
Super women 2:
Mimi napishana na wewe kidogo.
Nina save salary, af viposho posho na abcd ndo natumia.
Pia na-save coins, for the kids lakini
 
Waarmly welcome, nduyo hisa ni ile amana tu tuliyoamua kuweka, ni fedha kwa kifupi.. ambapo tulisema hisa moja iwe 50,000 na kwa mwezi mtu anaweza kuwa na the maximum of 5 which makes 250,000. In short kila mwanachama kwa mwezi lazma anunue hisa, na kiwango cha chini kabisa ni hisa moja.. hii inaensure continuity..na mfuko hauishiwi kwani lazma kila member ananunua.. kweli kuna wanaonunua hisa zote tano, na wale ambao mfano wamekopa tayari unakuta anafanya marejesho and on top of that ananunua hisa yake moja.. its also a way of saving kwani mwisho wa siku your money comes back to you plus the interest accrued.
So far hakuna defaulters kwa sababu kwenye system yetu ni wafanyakazi wote wa ofisi moja, na agreement ni kwamba once mshahara umetoka that is the first thing to do, kununua hisa (that is kuwekeza amana/saving) na kulipa madeni kwa waliochukua mkopo. Na lazma unasaini makubaliano na masharti ya kujiunga.. hakuna kona kona wala ujanja ujanja kwani kila kitu kiko wazi na mambo yanaenda..
 
Je, ukinunua $$ kwa Tsh 2,200 then Madafu ikapanda thamani, ikawa 1 $$ kwa Tsh 2,150 hujala hasara mpaka hapo ?

Inaweza ikawa ndogo sana na nadra sana kutokea
 
akiba ya nini bora utrade forex
 
Nimekuelewa mkuuu..

but wafanyabiashara wakubwa(smart) wanareinvest, hela anayopata faida anaongeza mtaji endelea kukuza biashara sio kuweka bank, sababu kuweka pesa bank nikama umewapa pesa yako wafanyie biashara(wanakopesha), bank its only temporary kwa ajiri ya kufanyia legal transactions unless huyo ni mfanyabiashara mkubwa sana business inmekua kuwa kubwa so bisness imefika at peak..(anatafuta somewhere pa kuinvest)

kwa wafanyabiashara wadogo(smart) nao sikuhizi hawaweki pesa bank wala kusave home, wana vikundi vyao vinaitwa vikoba, hapa anaweka pesa yake pia nae anaweza kuchukua kwa riba ndogo in return wana gawana faida so. thats why nikasema servers are losers.. hi perfect way yakukuza biashara kwa haraka kwa wafanyabiashara wadogo

hivi ndo dunia inataka sio kuweka pesa bank..

zaid kumbuka ukiwaka pesa kwa mwaka kama ni milion moja, ni lazima itapungua thaman sababu ya mfumuko wa bei so kwa namna moja au nyingine unapoteza..

hope tuko sawa...
 
Mimi nimenunua hisa kwenye soko letu la Hisa (DSE) na fanya saving za ujenzi bank, pesa za emergency naweka m pawa na pesa za matumizi ya kawaida na kila siku m pesa na mwisho naweka baadhi ya fedha katika foreigh currency Dollar. Cha kuzingatia hakikisha una kuwa na nidhamu ya hali ya juu na pesa na uwe na plan mapema. hata ukiiacha juu ya meza haimanishi haina kazi ila ina mipango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…