Share Idea yako unayotumia kuweka akiba

Lahaulaaa lakwata.....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kumbe una dadaako mkora....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Huyo dadangu/ndugu alishindikana. Katuibia sana hela. Alikua na tabiq za ajabu sana mmbea mgombanishi mwizi na kila kitu.
 
Huyo dadangu/ndugu alishindikana. Katuibia sana hela. Alikua na tabiq za ajabu sana mmbea mgombanishi mwizi na kila kitu.
Pole sana mkuu, kwakua ilikua ni utoto najua atakua alisha badilika
 
Pole sana mkuu, kwakua ilikua ni utoto najua atakua alisha badilika
Asante mkuu. Tabia ya wizi hajaacha bado. Alikuw mgombanishi kiasi ambacho alisababishq babu na bibi wakaachana kwa sababu yake. Nimeishi nae kama miaka 15 ila sijawahi kumpenda sasa hivu hata mawasiliano nae sinq kama vile mtu ambae sijawahi kumjua.
 
Kama kikundi chetu,.na kuongezea hiyo riba inagawanywa kwa wanachama mwisho wa mwaka !!
 
Mi mshahara ukishaingia nitatoa nitakachotoa lkn kuna limit ikifika sitoi ng'o!
 
Kibubu cha NMB ukakihamisha? Una maana gani mkuu?
 
Mi mshahara ukishaingia nitatoa nitakachotoa lkn kuna limit ikifika sitoi ng'o!
Una moyo aisee
Mie siwezi kukaa na hela
Yaani nimeshindikana,VICOBA + michezo + shemeji ni kimbilio langu.
 
Mimi nanunua dhahabu kwa sonara na kuihifadhi na zingine wife na watoto wanazivaa wakihitaji
Ni asset nzuri na thamani haishuki hata siku moja
Unaweza kupeleka bank kama kuna access hiyo kwa huko
Hii ni miongoni mwa njia nzuri pia.
 
Mimi naweka malengo account ya NBC Kila mwezi nakatwa direct kutoka kwenye mshahara kwa mwaka mzima imenisaidia sana.njia ya vibubu ilinishinda nilikua navunja kabla sijafikisha malengo.
Hii nayo ni nzuri.
 
😀😀😀
poleni sana kwa yaliyo wakuta
 
Sio unafanya promo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…