Huyo dadangu/ndugu alishindikana. Katuibia sana hela. Alikua na tabiq za ajabu sana mmbea mgombanishi mwizi na kila kitu.Lahaulaaa lakwata.....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Kumbe una dadaako mkora....[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Pole sana mkuu, kwakua ilikua ni utoto najua atakua alisha badilikaHuyo dadangu/ndugu alishindikana. Katuibia sana hela. Alikua na tabiq za ajabu sana mmbea mgombanishi mwizi na kila kitu.
Mkuu gram moja ni bei gani?Milioni 1 unapata
Asante mkuu. Tabia ya wizi hajaacha bado. Alikuw mgombanishi kiasi ambacho alisababishq babu na bibi wakaachana kwa sababu yake. Nimeishi nae kama miaka 15 ila sijawahi kumpenda sasa hivu hata mawasiliano nae sinq kama vile mtu ambae sijawahi kumjua.Pole sana mkuu, kwakua ilikua ni utoto najua atakua alisha badilika
Kama kikundi chetu,.na kuongezea hiyo riba inagawanywa kwa wanachama mwisho wa mwaka !!Ahaa.Yes naweza kushea kidogo.. iko hivi.. haka kamfumo ni kama ka kununua hisa. mfano mko watu 20, sisi tunafanya hisa moja ni 50,000 na mtu anaweza kununua a maximum of hisa 5 kwa mwezi, that is 250,000. Pia tumeweka kamchango ka jamii shilingi 5,000 kwa kila mwanachama kwa mwezi. Hii inatumika kwa yale mambo ya kijamii yanayotokea mfano kuzaliwa kwa mtoto, harusi, kifo, ugonjwa (japo mtu ana bima ila akilazwa basi angalau wanaomtembelea wanamnunulia chochote)
Kwa hiyo tuna uongozi kwa maana ya myenyekiti, katibu na mweka hazina.. hawa wanahakikisha kila mwanachama amenunua hisa kwa uwezo wake, na pia kila aliekopa anafanya marejesho. na hapo kwenye kukopa ni kwamba unakopeshwa mfano kuanzia milioni moja, marejesho ya riba ni 5% means unalipa 1,050,000 iwe imerudi ndani ya miezi mitatu,..so unaigawanya hiyo kila mwezi unalipa 350,000. Pia mbali na kurejesha lazma pia ununue angalau hisa moja na kuchangia ile gharama ya jamii.. Kwa wanaokopa milioni mbili hadi tatu hiyo marejesho ni miezi sita, na riba yake ni 10%. Huu utaratiu tulijiwekea wenyewe so nyie mkianza yenu mnaweza kujiwekea utaratibu wenu wenyewe. Lengo ni kupata soft loans ambazo zitawasaidia wanachama na si kuwaumiza kama zile za kibenki.
uzuri tunachofanya tuna wahasibu wa hapa kazini nao ni wanachama so wanatunza hesabu yetu vizuri, na pia tunatumia sefu ya ofisini kutunzia fedha yetu kwani hatujafungua account ya chama SILC yetu bado. Kila mwezi wanaandaa excel sheet inayoonesha jumla ya akiba mtu aliyo nayo kwa maana ya hisa alizonunua, madeni, marejesho ya mikopo, deni ambalo mkopaji bado anadaiwa, na ile hesabu ya jamii, na jumla ya fedha yote iliyopo kwenye mfuko toka tumeanza. Kigezo cha kupokea mkopo ni kwamba unakopeshwa mara tatu ya hisa ulizo nazo. mfano kama hisa yako imefika milioni basi una sifa ya kukopeshwa milioni tatu..Na pia kwa kuwa ni watu wa ofisi moja basi kila mwezi baada ya mishahara tu lazma marejesho yafanyike na hisa zinunuliwe..hesabu inafungwa tarehe 30 au 31 ya kila mwezi..mwezi huu wa pili ndo itabidi ifungwe tarehe 28.
Sijui kama kamnofu kamekidhi na kutosheleza, kama kutakuwa na swali jingine i would be glad to share experience tunavyofanya hapa... Karibu
"watu Tupo serious wewe unatuektia!" DarasaNjia nzuri ya kuweka akiba ni kuwakopesha jamaa zako wa karibu.
Any mkuuKIBUBU VS BANK VS M-PAWA, Which is the best Saving technique amongst the three ?
Kibubu cha NMB ukakihamisha? Una maana gani mkuu?Mkuu kibubu sitakaa nirudie! Kulikuwa na kibubu kinatolewa na NMB miaka ya nyuma. Kila siku nikawa naweka hela yoyote inayobaki kwenye matumizi ya siku na nikafanya kwa uaminifu kwa muda wa mwaka mzima. Siku moja nikakihamisha halafu nikasahau nilipokiweka, wee nusura nizimie! Sasa hivi jukumu hilo nimemwachia mama watoto amefungua akaunti ya malengo. Huko kila siku anapeleka elfu 30 kutoka kwenye Biashara! Hii ni njia salama kabisa!
Una moyo aiseeMi mshahara ukishaingia nitatoa nitakachotoa lkn kuna limit ikifika sitoi ng'o!
Hii ni miongoni mwa njia nzuri pia.Mimi nanunua dhahabu kwa sonara na kuihifadhi na zingine wife na watoto wanazivaa wakihitaji
Ni asset nzuri na thamani haishuki hata siku moja
Unaweza kupeleka bank kama kuna access hiyo kwa huko
Hii nayo ni nzuri.Mimi naweka malengo account ya NBC Kila mwezi nakatwa direct kutoka kwenye mshahara kwa mwaka mzima imenisaidia sana.njia ya vibubu ilinishinda nilikua navunja kabla sijafikisha malengo.
Bado ni dhahabu mkuu.Hehehe sasa dhahabu ya hereni nayo utaiita ni dhahabu.
😀😀😀Nasave kwa kucheza michezo na vicoba. Umenikumbusha nimeanza kusave primary kwenye kibubu mimi na ndugu yangu tulikua tunaweka 200 kila siku. Tuliweka kama miezi mitatu kwenye kibubu chetu kipya. Kuja kukifungua tukakuta elfu 2. Sitasahau machungu yake. Kuna dada yetu alikifungua akaiba hela halafu akakifunga kama kilivyo.
Ooh sorryMkuu gram moja ni bei gani?
Mi niko Tz hizo £ sielewiOoh sorry
Is £35.50
Kwangu fixed account ni bora zaidiKIBUBU VS BANK VS M-PAWA, Which is the best Saving technique amongst the three ?
Sijui kwa kweliMi niko Tz hizo £ sielewi
Sio unafanya promo mkuuMkuu kibubu sitakaa nirudie! Kulikuwa na kibubu kinatolewa na NMB miaka ya nyuma. Kila siku nikawa naweka hela yoyote inayobaki kwenye matumizi ya siku na nikafanya kwa uaminifu kwa muda wa mwaka mzima. Siku moja nikakihamisha halafu nikasahau nilipokiweka, wee nusura nizimie! Sasa hivi jukumu hilo nimemwachia mama watoto amefungua akaunti ya malengo. Huko kila siku anapeleka elfu 30 kutoka kwenye Biashara! Hii ni njia salama kabisa!