TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,399
- 8,594
Habar wana JF?
Msingi mkubwa wakufanikiwa katika maisha nikuweka akiba.
Kipindi nipo Shule nilikua na-save kiasi cha pesa ninacho pewa kwaajili ya matumizi ya shule kila siku nyumbani nilikua napewa TZS 2,000 kama matumizi ya kutwa nzima nikiwa shuleni kwani kutoka home hadi shule kulikua na umbali mrefu.
Toka hapo hadi leo bado nimeendelea kujiwekea akiba na nimeona ni njia salama sana kwani inakupa uhuru wa pesa.
Katika harakati za kueka akiba kila mtu huweka kulingana na kipato chake.
Nimeanzisha uzi huu ili kila mtu kushare Idea yake anayotumia kueka akiba- kwani akiba ndio njia salama ya kufikia malengo - na pia kuwakumbusha wale wasiokua na utaratibu wa kujiwekea akiba
Kama unandoto ya kumiliki gari,nyuma nzuri,nk anza leo kueka kidogo unacho kipata ndicho kinacho tengeneza kikubwa cha kesho
NB: sio lazima usave kwenye kibubu unaweza weka kwenye TIGO PESA , M PESA Bank Account Nk..
SHARE IDEA YAKO UNAYO TUMIA KUWEKA AKIBA [emoji120][emoji120][emoji120]
Msingi mkubwa wakufanikiwa katika maisha nikuweka akiba.
Kipindi nipo Shule nilikua na-save kiasi cha pesa ninacho pewa kwaajili ya matumizi ya shule kila siku nyumbani nilikua napewa TZS 2,000 kama matumizi ya kutwa nzima nikiwa shuleni kwani kutoka home hadi shule kulikua na umbali mrefu.
Toka hapo hadi leo bado nimeendelea kujiwekea akiba na nimeona ni njia salama sana kwani inakupa uhuru wa pesa.
Katika harakati za kueka akiba kila mtu huweka kulingana na kipato chake.
Nimeanzisha uzi huu ili kila mtu kushare Idea yake anayotumia kueka akiba- kwani akiba ndio njia salama ya kufikia malengo - na pia kuwakumbusha wale wasiokua na utaratibu wa kujiwekea akiba
Kama unandoto ya kumiliki gari,nyuma nzuri,nk anza leo kueka kidogo unacho kipata ndicho kinacho tengeneza kikubwa cha kesho
NB: sio lazima usave kwenye kibubu unaweza weka kwenye TIGO PESA , M PESA Bank Account Nk..
SHARE IDEA YAKO UNAYO TUMIA KUWEKA AKIBA [emoji120][emoji120][emoji120]