Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Woyoooooooooo
Ni sounds / namna au mbinu gani ulitumia kumnasa mpenzi wako wa sasa? Na ilichukua muda gani hadi aingie line?
Binafsi nilikutana nae akiwa katoka shopping, nikamsaidia mizigo na ku exchange number.
Sikumpiga sound bali tulichati for two weeks ivi nikamwomba nimtoe dinner. She accepted na nikamfata na gari hadi kwao tabata. Nikamchukua na kwenda eneo flani amazing kule mbezi beach. Alikula na kunywa alichokipenda. Wakati namrudisha kwao nilisimamisha gari umbali km wa dk 5 hivi na kwao and tried to kiss her. Hakukataa.... I kissed her for about one minute then nikamdrop home.
From that day akawa wangu hadi sasa ni mke wangu wa ndoa.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sounds / namna au mbinu gani ulitumia kumnasa mpenzi wako wa sasa? Na ilichukua muda gani hadi aingie line?
Binafsi nilikutana nae akiwa katoka shopping, nikamsaidia mizigo na ku exchange number.
Sikumpiga sound bali tulichati for two weeks ivi nikamwomba nimtoe dinner. She accepted na nikamfata na gari hadi kwao tabata. Nikamchukua na kwenda eneo flani amazing kule mbezi beach. Alikula na kunywa alichokipenda. Wakati namrudisha kwao nilisimamisha gari umbali km wa dk 5 hivi na kwao and tried to kiss her. Hakukataa.... I kissed her for about one minute then nikamdrop home.
From that day akawa wangu hadi sasa ni mke wangu wa ndoa.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app