Share namna/sounds ulizotumia kumnasa mpenzi wako wa sasa

Share namna/sounds ulizotumia kumnasa mpenzi wako wa sasa

Mjina Mrefu

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2016
Posts
3,045
Reaction score
3,389
Woyoooooooooo

Ni sounds / namna au mbinu gani ulitumia kumnasa mpenzi wako wa sasa? Na ilichukua muda gani hadi aingie line?

Binafsi nilikutana nae akiwa katoka shopping, nikamsaidia mizigo na ku exchange number.

Sikumpiga sound bali tulichati for two weeks ivi nikamwomba nimtoe dinner. She accepted na nikamfata na gari hadi kwao tabata. Nikamchukua na kwenda eneo flani amazing kule mbezi beach. Alikula na kunywa alichokipenda. Wakati namrudisha kwao nilisimamisha gari umbali km wa dk 5 hivi na kwao and tried to kiss her. Hakukataa.... I kissed her for about one minute then nikamdrop home.

From that day akawa wangu hadi sasa ni mke wangu wa ndoa.

Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Woyoooooooooo

Ni sounds / namna au mbinu gani ulitumia kumnasa mpenzi wako wa sasa? Na ilichukua muda gani hadi aingie line?

Binafsi nilikutana nae akiwa katoka shopping, nikamsaidia mizigo na ku exchange number.

Sikumpiga sound bali tulichati for two weeks ivi nikamwomba nimtoe dinner. She accepted na nikamfata na gari hadi kwao tabata. Nikamchukua na kwenda eneo flani amazing kule mbezi beach. Alikula na kunywa alichokipenda. Wakati namrudisha kwao nilisimamisha gari umbali km wa dk 5 hivi na kwao and tried to kiss her. Hakukataa.... I kissed her for about one minute then nikamdrop home.

From that day akawa wangu hadi sasa ni mke wangu wa ndoa.

Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Uliwahi kumuuliza alivyokukubalia kirahisi namna hiyo ndani ya wiki mbili tu... ni wangapi aliowakubalia kirahisi hivyo miaka mitano iliyopita?

#Justasking#
 
Uliwahi kumuuliza alivyokukubalia kirahisi namna hiyo ndani ya wiki mbili tu... ni wangapi aliowakubalia kirahisi hivyo miaka mitano iliyopita?

#Justasking#
Mkuu, kwanini nimuulize?

Kwani kuna range ya muda specific uliopangwa kwa mwanamke kumkubalia mwanamume? If yes, ni muda kiasi gani?

Je ni vibaya mwanamke kumkubalia mwanamume kirahisi?

Je inatakiwa mwanamke asimkubalie mwanamume kirahisi?? Why?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Woyoooooooooo

Ni sounds / namna au mbinu gani ulitumia kumnasa mpenzi wako wa sasa? Na ilichukua muda gani hadi aingie line?

Binafsi nilikutana nae akiwa katoka shopping, nikamsaidia mizigo na ku exchange number.

Sikumpiga sound bali tulichati for two weeks ivi nikamwomba nimtoe dinner. She accepted na nikamfata na gari hadi kwao tabata. Nikamchukua na kwenda eneo flani amazing kule mbezi beach. Alikula na kunywa alichokipenda. Wakati namrudisha kwao nilisimamisha gari umbali km wa dk 5 hivi na kwao and tried to kiss her. Hakukataa.... I kissed her for about one minute then nikamdrop home.

From that day akawa wangu hadi sasa ni mke wangu wa ndoa.

Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana umetisha,ninaomba na mimi niijaribu,nipe baraka zako
 
Back
Top Bottom