Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Stingy man...yaan hata kutumia pesa Kwa ajili Yao binafsi anaona kama anateketeza pesa....πππ€£π€£Nimeshawahi kufanya kazi kwa tajir ni bahili sana
π€£π€£π€£Ndo maana akawa tajiri
Stingy man...yaan hata kutumia pesa Kwa ajili Yao binafsi anaona kama anateketeza pesa....[emoji4][emoji4][emoji1787][emoji1787]
I wish there is a better way to present this
Please share your experience with them.
Sawa mwalimu wa lugha .... Tunyooshee icho kizungu kibovu.....π€£π€£π€£π€£π€£π€π€π€Viingereza vibovu.
Good experienceNilishafanya kazi na Google,it was amazing now nipo na project ya kutengeneza my own Google
Inasaidia sana sabb maofisin Kuna mambo mengi ...Anabeba chakula nyumbani anaenda nacho kazini
HaaahaaaHahaha
Ubahili una saidiaga sana ila sio ubahili mpk kwenye mambo yako ya msingi.....Nimefanya kazi na lukas podolsk ni bahili kinima
Mbona hii ni kawaida? Mathalani mtu ni vegan, au hawezi kula chakula cha kila mpishi, au ana mzio wa aina fulani ya mafuta ya kupikia, au ana kinyaa etc.Anabeba chakula nyumbani anaenda nacho kazini
Hii picha inaingiaje hapa JF Bwanaaπππππ