Share Your Experience While Working Under An Elite Person

Share Your Experience While Working Under An Elite Person

Sawa mwalimu wa lugha .... Tunyooshee icho kizungu kibovu.....🤣🤣🤣🤣🤣🤓🤓🤓


I wish there is---, supposed to be; I wish there were--.

----please share with them. Supposed to be;---please share with us.
 
Watu poa sana na uenda ukiwafanyia kazi zao vizuri anaweza akakulipa hata mara 2 ila ukiharibu kazi zao utaona sura ya simba kumkosa kosa swala

By the way

Kuna Tajiri aliniachia gari lake na funguo pia ndani ya gari kukiwa na million 700 na akanambia kabsa kwenye gari kuna million 700 na akanambia kama kweli mjanja kimbia nazo alirudi baada ya masaa kama matatu na kunambia anajua kabsa kuwa siwezi kukimbia nazo kwani mm ni mwaminifu sana, hata ningezichukua na kikimbia nazo ningejificha wapi? Maana kwenye nchi hii kwa sasa ni mtu wa pili Kwa wadhifa yaani angenipata tu yaani by the way mpaka sasa ananipigia sim akitaka nimfanyie kazi zake - ALHAMDULLILLAH
 
Watu poa sana na uenda ukiwafanyia kazi zao vizuri anaweza akakulipa hata mara 2 ila ukiharibu kazi zao utaona sura ya simba kumkosa kosa swala

By the way

Kuna Tajiri aliniachia gari lake na funguo pia ndani ya gari kukiwa na million 700 na akanambia kabsa kwenye gari kuna million 700 na akanambia kama kweli mjanja kimbia nazo alirudi baada ya masaa kama matatu na kunambia anajua kabsa kuwa siwezi kukimbia nazo kwani mm ni mwaminifu sana, hata ningezichukua na kikimbia nazo ningejificha wapi? Maana kwenye nchi hii kwa sasa ni mtu wa pili Kwa wadhifa yaani angenipata tu yaani by the way mpaka sasa ananipigia sim akitaka nimfanyie kazi zake - ALHAMDULLILLAH
Ni P. Plan huyo!!!
 
Back
Top Bottom