Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Ninafanya kazi na Salim.
Honestly, ni mtu kwenye roho ya kipekee mno.
Honestly, ni mtu kwenye roho ya kipekee mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia anakula chakula anacho kia miniMbona hii ni kawaida? Mathalani mtu ni vegan, au hawezi kula chakula cha kila mpishi, au ana mzio wa aina fulani ya mafuta ya kupikia, au ana kinyaa etc.
Inafundisha kituNimeshawahi kufanya kazi kwa tajir ni bahili sana
Kuna wanadamu wamebarikiwa sana wana roho nzuriNinafanya kazi na Salim.
Honestly, ni mtu kwenye roho ya kipekee mno.
Ni namna pia ya kujilinda, dunia pana hii.Mbona hii ni kawaida? Mathalani mtu ni vegan, au hawezi kula chakula cha kila mpishi, au ana mzio wa aina fulani ya mafuta ya kupikia, au ana kinyaa etc.
Kwa niaba ya mdogo angu Mwachiluwi SEMA jambo...My boss Bantu Lady nami niseme jamboo??, au tajiri Mwachiluwi nawe utanizuia??
Humjui vizuri huyo tajirii, anaeza badilika Kama kinyongaKwa niaba ya mdogo angu Mwachiluwi SEMA jambo...
Humjui vizuri huyo tajirii, anaeza badilika Kama kinyongaKwa niaba ya mdogo angu Mwachiluwi SEMA jambo...
Mm na yeye ni marafik sanaaHumjui vizuri huyo tajirii, anaeza badilika Kama kinyonga
Sema tu ila una Boss mzuri sana. Hutopata boss kama mimi tena, ukiacha kazi kwangu.My boss Bantu Lady nami niseme jamboo??, au tajiri Mwachiluwi nawe utanizuia??
Nisije mwaga pumba kwenye kuku wengi, ila stay blessed my boss Bantu LadySema tu ila una Boss mzuri sana. Hutopata boss kama mimi tena, ukiacha kazi kwangu.
Intelligent businessman
Kwakweli ni manyanyaso hasa wanawake matusi kama yote mda woteKwa niaba ya mdogo angu Mwachiluwi SEMA jambo...
😂😂😂 nabadilika vipi sasaHumjui vizuri huyo tajirii, anaeza badilika Kama kinyonga