Ombeni madai yenu yawe ya kweli vinginevyo tutawafidia hiyo hasara.
Cha ajabu hata ripoti hamtaki kuwapa sasa sijui tutaaminika vipi..
Wa level hiyo kwa faida gani tuliyopata? au bora tu sifa ya kuwa na mwekezaji asiyekupa faida? Si ulimbukeni huo?Hivi tutakuja kupata mwekezaji wa level ya Barrick tena kweli?
Jipe moyo.Kawaida tu kama Siku ya press ya magu zinashuka kesho kutwa zinapanda ila sitegemei watatulipa hiyo fedha sema watatupoza kidogo kama tutrillion 10 may be or not
You are right, there is a way craizyness is taking over in this country at a very high speed!Paul kuna statement hii "Tanzania sent Acacia Mining Plc a tax bill equal to almost two centuries worth of the gold producer’s revenue" kule bloomberg. Kama taarifa hii ni kweli anachokitafuta baba jeska atakipata muda si mrefu ni suala la muda tu!
To put the size of the bill in perspective, Acacia, which is majority owned by Barrick Gold Corp., had total revenues of $1.05 billion last year and has reported sales of a total of $7.7 billion since 2009.
“The $40 billion tax bill is more than twice what all top five global gold miners (including Barrick) combined have paid in taxes since 2000!” Hunter Hillcoat, an analyst at Investec Plc, wrote in a note to investors Tuesday.
At least two senior employees have been detained for questioning by Tanzanian authorities this month, while other employees have been interviewed by the police. On Friday, Acacia said the dispute had depleted its cash balance to $176 million from $318 million a year earlier and that it will have to shutter its flagship Bulyanhulu mine at the end of this quarter if the situation is not resolved.
We ni taahira. Unaelewa uwekezeja ni nini?Hivi tutakuja kupata mwekezaji wa level ya Barrick tena kweli?
ushaambiwa from 2000-2017 plus penalties na malimbikizo yote kwanza kwa mtazamo wangu hzo ndogo sana wamewahurumia hao weziMakusanyo ya TRA kwa mwaka ulioisha kutoka VYANZO VYAKE VYOTE ni less than USD 7 bn/-. Leo wanaidai ACACIA 190/- about USD 19 b/- kwa mwaka. Hivi inaingia akilini mapato ya kampuni moja ni karibu mara tatu ya makusanyo yote ya kodi ndani nya nchi ile ile? Hebu tuacheni mizaha wajameni.
Hivi tutakuja kupata mwekezaji wa level ya Barrick tena kweli
Mkuu ni vizuri kuuliza hiyo amount tunayowadai imepatikana kwa calculations zilizobase kwenye nini? Halafu wenye akili tuanze kuichallenge formular waliyoitumia kama siyo sahihi.Hivi ndo vitu watu hawataki soma wala sikia. lakin ndo ukweli. Acacia hawajaibia serikali. Serikali inajichanganya tu.
Mambo tunayomfanyia Barrick kwa sasa dunia nzima ya wawekezaji it's a talk of town.
Watu wanaangalia jinsi tunavyomkomesha Barrick , tunavyoharrass wafanyakazi wake, tunavyoua thamani yake kwenye soko la hisa with just 'Sukuma land allegations'
Halafu kesho tuwafuate wawekezaji sijui na nyimbo gani,tuwaambie waje wawekeze?
Lazima wajiulize, kama tumeweza kuutendea hivi mti mbichi, itakuwaje kwa mti mkavu?
Mkuu ni suala la muda tu ila soon kuna mtu anaenda umbuka hapa! na ndo hapo hata usomi wake utakapodharaulika na pamoja na sifa nyiiiingi alizopewa atashaangaa upepo ushageukaaHivi ndo vitu watu hawataki soma wala sikia. lakin ndo ukweli. Acacia hawajaibia serikali. Serikali inajichanganya tu.
Mkuu data nyingi za wazungu ziko wazi ukizitafuta utapata sasa hapa kwetu ripoti tumeambiwa ni ya rais!! hata anayetuhumiwa hajapewa huu si ujinga wa kiwango cha lami aka uzazwa!Mkuu ni vizuri kuuliza hiyo amount tunayowadai imepatikana kwa calculations zilizobase kwenye nini? Halafu wenye akili tuanze kuichallenge formular waliyoitumia kama siyo sahihi.
Ni ujinga kuamini data za wazungu pasipo kujua data zetu zinasemaje na kwa ushahidi gani.
We jamaa unadhani mgodi ni kama duka la mhindi! sio kwamba TRA ni wapuuzi au hawana akili, wanafanya kumridhisha mtu. Facts zinajulikana. kama umewahi fanya uhasibu kwenye kampuni popote pale tanzania utajua tu hili swala la acacia tumeingia chaka big timeMkuu ni vizuri kuuliza hiyo amount tunayowadai imepatikana kwa calculations zilizobase kwenye nini? Halafu wenye akili tuanze kuichallenge formular waliyoitumia kama siyo sahihi.
Ni ujinga kuamini data za wazungu pasipo kujua data zetu zinasemaje na kwa ushahidi gani.
Hao wawekezaji wa ukweli mbona hawakupewa hiyo migodi? Tumeshindwa hata viwanda vya toothpick tutaweza kuchimba madini na kuyauza wenyewe? kama uwezo upo why Magu alazimishe kwamba Barick watajenga smelter? si serikali ijengeBarick sio mwekezaji, barick ni mwizi na sio mlipa kodi. Tutayachimba wenyewe aondoke zake. Lazima uchumi wa nchi ushikiliwe na Watanzania wenyewe sio wageni. Wapo wawekezaji wa ukweli lakini sio Barick
Mkuu tatizo kuna watu wana mahaba niue kwa mkulu na wameshikiwa akili zao na mtu mmoja!!!! ila tukumbuke aliyepita alisema za kuambiwa tuchanganye na za kwetu.We jamaa unadhani mgodi ni kama duka la mhindi! sio kwamba TRA ni wapuuzi au hawana akili, wanafanya kumridhisha mtu. Facts zinajulikana. kama umewahi fanya uhasibu kwenye kampuni popote pale tanzania utajua tu hili swala la acacia tumeingia chaka big time