Ombeni madai yenu yawe ya kweli vinginevyo tutawafidia hiyo hasara.
Cha ajabu hata ripoti hamtaki kuwapa sasa sijui tutaaminika vipi..
Ndo maombi ya wanaCHADEMA siku hizi.
Wanatamani nchi ishindwe katika vita ya kutetea maliasili zetu.
Kweli LOWASA kaleta MABADILIKO ndani ya CHADEMA.
Tundu Lissu anawapigia magoti wazungu wasilete misaada kwa watanzania mpaka RAIS amruhusu kutukana na kuwagawa waTanzania kwa misingi ya Ukanda, Udini na UKABILA.
Hii ndiyo CHADEMA ya siku hizi.
Imekuwa ya HOVYO HAIJAPATA KUTOKEA!