OGOPA KUTUMIA TAIRI SILIZOKUJA NA GARI TOKA HUKO ILIKOKUWA INATUMIKA KWA SAFARI NDEFU,UKINUNUA GARI HATA KAMA TAIRI ZINAVUTIA NA KUONEKANA NI MPYA NI BUSARA YA KAWAIDA KWA MTU ANAYEJARI MAISHA YAKE KUBADILISHA TAIRI KAMA ANATAKA KUSAFIRI SAFARI NDEFU ITAYOMFANYA AENDESHE KWA SPIDI KUBWA MUDA MREFU-Tuutunze,tuuheshimu na tuupende uhai,opgopa kutumia tairi ambazo hujui zilifungwa lini na zimekaa muda mrefu kiasi gani bila kutembea zikisubiri wewe uzinunue pamoja na gari,hii itasaidia sana kupunguza ajali na vifo vitokanavyo na ajali, JINGINE, safari ndefu zinahitaji uzoefu katika kuendesha, safari ndefu kwangu ni zaidi ya km 70,huwezi kujifunza gari hata kama ni automatic then ujipinde kuendesha safari ndefu, unjitengenezea mazingira mazuri ya ajali,sio vibaya kuomba msaada au kukodi dereva mwenye uzoefu,si kwamba yeye anakinga ya ajali lakini baadhi ya visababishi vya ajali ataviepuka kwa kuwa anao uzoefu...