TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

Dah lyf z too shot' 2pendane wana JF..r.i.p sharo
 
There are currently 561 users browsing this thread. (73 members and 488 guests)
 
View attachment 72584
KWA habari Tulizozipata hivi punde kutoka kwenye UKURASA wa nani mkali wa Tanzania ni kwamba yule msanii wa BONGO FLEVA na mwigizaji maarufu wa vichekesho hapa NCHINI 'SHARO MILONEA; haatunae tena. Taarifa zaidi kuhusu kifo chake na sababu hasa bado hatujazipata,ENDELEA KUWA NASI wakati waandishi wetu wakiendelea kufuatilia kwa kina undani wa habari hii na tutakujuza hivi PUNDE.............
chanzo cha habari ni:
http://talkbongo.blogspot.com/2012/11/breaking-newzzzzzz-msanii-sharo.html
 
Channel 5 saa ngapi mi nipo naangalia Top Ten za Western mbona sijaona?

Sasa kama hutaki tujufanyeje? Mbona wenzako tumeona na kusikia wewe una mchina macho yote umekodolea hapo utasikiaje matangazo ya radio au Tv?
 
R.I.P shallow milionea. Nami nimeisikia breaking news radioni. Mungu ametoa Mungu ametwaa.
 
Kamanda wa Polisimkoani Tanga, Constatine Masawe amekiri kutokea kwa msiba wa Sharobaro, baada ya kupata ajali katika kijiji
cha Lusanga, Muheza ambapo pia ndio nyumbani kwao. Sasa naweza kusema R.I.P Sharomilonea.
 
Habari nilizozipata hivi sasa wandugu zimenishtua sana. Zinasema kuwa msanii maarufu wa maigizo Sharo millionea mzee wa swagga, umebugi men, AMEFARIKI DUNIA kwa ajari ya gari usiku huu huko Muheza Tanga. Naandika thread hii na tangazo lake la Airtel linapita. Innalillahi wainnailayhi r- aajiun. Tumepoteza jembe lingine.

Source: Channel 5
Duh!...nayo hii ni siasa?? au haraka za kutupia post men....umebugi men.....

:focus::focus:
RIP Sharo......................:amen:
 
what is happening?sorry sio kama hastahili kufa but mazingira ya wiki hii tu.....hapa naangalia interview ya maganga,anavyoelezea malengo aliyokuwa nayo basi tu jamani mwacheni Mungu aitwe Mungu.Panga kila jambo katika maisha yako,pumzi mwachie Mungu.R.I.P brothers.

hv cn u prove beyond reasonable doubt tht God is concerned wd hs pples death ama mnasemaga 2,GOD has nothng 2do wd ur death,thnk beyond ur 5 senses,uwez kua mlevi upate ajal then utwambia ni mungu,idnt mean sharo alikua kalewa,if u appriciate creation then apriciate deaths.rest in peace bro!
 
Ni kweli badungu home boy amefariki dunia kwa ajali eneo la maguzoni.

Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi. Ameen
 
Sasa kama hutaki tujufanyeje? Mbona wenzako tumeona na kusikia wewe una mchina macho yote umekodolea hapo utasikiaje matangazo ya radio au Tv?
Cha muhimu mnatakiwa mseme EA Radio na sio Channel 5 hilo halijatangazwa.
 
Back
Top Bottom