TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

what is happening?sorry sio kama hastahili kufa but mazingira ya wiki hii tu.....hapa naangalia interview ya maganga,anavyoelezea malengo aliyokuwa nayo basi tu jamani mwacheni Mungu aitwe Mungu.Panga kila jambo katika maisha yako,pumzi mwachie Mungu.R.I.P brothers.
 
Msanii wa filamu za vichekesho sharomilionea amefariki kwa ajali mkoani tanga eneo la muheza
 
ni yule aliye pamoja na mzee majuto katika tangazo la airtel money (Unatoa wapi menn......?)

Okay, naweza kumkumbuka labda, ahsante ndugu yangu kwa ufafanuzi.
 
Pole kwa wapenzi wake na wateja airtel money Mungu.ailaze roho yake mahala pema peponi
 
ni yule aliye pamoja na mzee majuto katika tangazo la airtel money (Unatoa wapi menn......?)

I hope siyo kweli

tuzosharonmajuto.jpg
 
Duh mungu amlaze mahali pema.....
Mwisho wa mwaka hivk huwa kjna nini.?
Kwanini kuna ajali nyingi?
Kuna tatizo....
 
Duuuuh, dogo alazwe pema peponi aiseee. Inauma ila marufuku ''kugonga like'' uzi huu
 
sasa kama aliiishi maisha ya kipumbavu pumbavu akifikiri muda bado. sasa imeshakuwa mbaya. kifo tunatembea nacho wajameni. RIP MEEN!
 
Back
Top Bottom