R.I.P SHARO MILIONEA, kazi zako ni nzuri sana kwa wakubwa na watoto. tutakukumbuka daima.Msanii wa filamu za vichekesho sharomilionea amefariki kwa ajali mkoani tanga eneo la muheza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.P SHARO MILIONEA, kazi zako ni nzuri sana kwa wakubwa na watoto. tutakukumbuka daima.Msanii wa filamu za vichekesho sharomilionea amefariki kwa ajali mkoani tanga eneo la muheza
Kina Steve nyerere na Ruge naskia washaanza kupigiana simu kuunda kamati ya mazishi..soon watatoa namba za mpesa na tigopesa...rip shalo
"Sir God anafunga mahesabu yake", hivi ndivyo tumekuwa tunaambiwa toka utoto.Duh mungu amlaze mahali pema.....
Mwisho wa mwaka hivk huwa kjna nini.?
Kwanini kuna ajali nyingi?
Kuna tatizo....
Kina Steve nyerere na Ruge naskia washaanza kupigiana simu kuunda kamati ya mazishi..soon watatoa namba za mpesa na tigopesa...rip shalo
Unamaanisha nini? mi nilitarajia labda utakuja na taarifa ya ufafanuzi juu ya tukio hili.Wabongo kwa utomaso ndo maana mnabaki masikini licha ya kukalia utajiri.
Hizi habari zinaenea kwa kasi xana. RIP
Mi' sielewi