TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

Msanii maarufu wa vichekesho Shalo Balo au Shalo milionea amefariki dunia leo asubuhi kwa ajali ya gari huko Lushoto Tanga,,,Mungu amlaze mahali pema Shalo!!
R.I.P Shalo!!!

Chanzo: BBC Swahili.

Nimeisikia hii habari kwenye magazeti. Nikakumbuka matangazo ya biashara aliyokuwa akiyafanya na Mzee Majuto: Watoto wangu wanapenda moja la Airtel anaposema Umebugi men! Mungu amulaze mahala pema. Mbele yeye nyuma sisi
 
Msanii maarufu wa vichekesho Shalo Balo au Shalo milionea amefariki dunia leo asubuhi kwa ajali ya gari huko Lushoto Tanga,,,Mungu amlaze mahali pema Shalo!!
R.I.P Shalo!!!

Chanzo: BBC Swahili.

shalow balo= sharo baro?
 
what is happening?sorry sio kama hastahili kufa but mazingira ya wiki hii tu.....hapa naangalia interview ya maganga,anavyoelezea malengo aliyokuwa nayo basi tu jamani mwacheni Mungu aitwe Mungu.Panga kila jambo katika maisha yako,pumzi mwachie Mungu.R.I.P brothers.

Chicco Maganga yupi huyu? Wenginehatuna hizi news
 
MSANII.jpg And SHAROMILIONEA.jpg Mungu na Awalaze Panapowafaa
 
RIP SHARO,
Mungu kakupenda zaidi, haya mengine ni njia tu ya kufikia kwake!
 
Mengi yatasemwa but wa kwenda kaenda..MUNGU akupokee kwa amani..gone too soon,bado mbichiii dahh. RIP
 
Umebugi Men!! Hakika kila nafsi itaonja mauti. R.I.P mwana.
 
R.I.P brother,,,Mungu awape faraja familia,ndugu,na marafiki katika wakati huu mgumu.
 
Duh hii hizi habari nimezisikia night ya kuamkia leo jamaa wakisema Sharo millionea kavuta na huku wakisema pia why wasanii wanavuta sana siku hizi kumbe ni zina kina chake alaa.... Karest in Peace Men....... Sharobaro... nadhani ulishawatahadhalisha wazikaji wasije kukuchafua na udongo men.......
 
Back
Top Bottom