Duh aisee watu wnataka wafanye upembuzi yakinifu hadi nyuma wanataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh aisee watu wnataka wafanye upembuzi yakinifu hadi nyuma wanataka
binafsi sioni alama za kujichubua,pengine ni chuki binafsi tuHuyu ni mchekesha wa comedi kipindi kinachorushwa na star tv saa tatu na nusu usiku siku ya alhamisi kipindi kinachoitwa " futuhi"mtangazaji anaeitwa sharobaro wa kihaya ameanza kujichubua.
Mwanzoni nilidhani ni weupe wake au ni scrub labda inamfanya hivyo lakini jana kwenye kipindi hicho kabadilika sana ukimwangalia shingoni na kwa nyuma ya shingo usoni na mikononi hasa kwenye vidole kabadilika sana hadi kashaanza kuwa na mabaka mabaka ,kumbe anavyojiita sharobaro ni kweli anataka kubadilika mi nilidhani ni a.k.a tuu anatumia .
Ushauri ;bora uendelee kubaki na rangi yako kama ni nyota itakuwakia tuu wewe ni mwanaume kubali rangi yako kama brother k.mbona maisha bado yapo na yataendelea tuu.
Au kama umeona kujichubua ndo utaonekana my brother unapotea badilika.View attachment 1298133
Alikuwa ana rembua kwa cameramanmbona na macho anarembua huyu jamaa anatia shaka
Yuko vizuri binamu bwana acha kumzodoa anatengeneza brand 😂Ukimwona kwenye tv ndo utajua zaidi kuna maeneo hayuko sawa
Mtani unaniaibisha sasa, hapo kwenye picha anaonekana kajichuna?Ama kweli wanaume mnazidi kupungua. Haya huyoo kaona ucheusi mangala haumfai kaamua kujikwatua. Aiseee 🤔
Kwenye kung'aa huwa Elimu inawekwa pembeni Mkuu.Hahhah Ila mkuu cha ajabu ambacho sikielewi kuhusu wanawake,naona mpk kuna wanawake wenye vyeo na ni wasomi wanajichubua mawaziri,makatibu huko wizarani,wakurugenzi etc.
Sasa hapo hua sielewi tofauti ya aliyesoma vs asiyesoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivyo hiyo ndio rangi yake Mtani?Mtani unaniaibisha sasa, hapo kwenye picha anaonekana kajichuna?
Au tunachangia tu ili mradi?
.
Tatizo la hiyo picha ni kulegeza kwake macho tu na uskute ndivyo alivyo, mtazame Swicha baba (Quick racka) ana macho mazuri kuliko Irene Uwoya ukibahatika kumuona hajavaa miwani njoo ulete ushuhuda useme anajirembulisha au ndo alivyo
Huo mda mwanaume rijali unaotoa wapi!Yaani jana nimemwangalia anatia shaka kwa kweli
Kama unamjua nje ya hiyo picha ndio utueleweshe sasa Mtani ili tujue hajichubui na hata hilo la kurembua pia.Tatizo la hiyo picha ni kulegeza kwake macho tu na uskute ndivyo alivyo, mtazame Swicha baba (Quick racka) ana macho mazuri kuliko Irene Uwoya ukibahatika kumuona hajavaa miwani njoo ulete ushuhuda useme anajirembulisha au ndo alivyo
Labda ameanzakunywa mani
Yani ndivyo alivyo huyo tena ni mweupe zaidi hiyo screenshot imemzurumu mtani.Hivyo hiyo ndio rangi yake Mtani?
Kuchangia ili mradi ndio aje? 🤔
Ooh. Sawa.Yani ndivyo alivyo huyo tena ni mweupe zaidi hiyo screenshot imemzurumu mtani.
.
Kuchangia ili mradi ni kila mtu anaunga mkono hoja ya wa stendi kwamba kajichubua ilihali hamumjui mtani wengine tunamjua way back uliza wakazi wa butimba
Hahahaaa. We unayemjua huko Butimba Mtani ndio ungekuja kutuaminisha ka hivi sasa na sio maneno mingi mingi kama Manara. Teh tehYani ndivyo alivyo huyo tena ni mweupe zaidi hiyo screenshot imemzurumu mtani.
.
Kuchangia ili mradi ni kila mtu anaunga mkono hoja ya wa stendi kwamba kajichubua ilihali hamumjui mtani wengine tunamjua way back uliza wakazi wa butimba
Daah kweli mkuu.Kwenye kung'aa huwa Elimu inawekwa pembeni Mkuu.
🤣🤣🤣🤣Humu watu wanasuta kama waziri Jaffo vile,jamaa asije akazimia huki aliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mwaka sijaangalia futuhi hivi bado hua wanagombana gombana kwny kila kichekesho?
Maana ilikua ni tabia yao bila kupigana pigana kichekesho chao hakijakamilika.
Sent using Jamii Forums mobile app