Sharobaro wa Kihaya, mchekeshaji wa Futuhi acha kujichubua

Sharobaro wa Kihaya, mchekeshaji wa Futuhi acha kujichubua

Huyu ni mchekesha wa comedi kipindi kinachorushwa na star tv saa tatu na nusu usiku siku ya alhamisi kipindi kinachoitwa " futuhi"mtangazaji anaeitwa sharobaro wa kihaya ameanza kujichubua.

Mwanzoni nilidhani ni weupe wake au ni scrub labda inamfanya hivyo lakini jana kwenye kipindi hicho kabadilika sana ukimwangalia shingoni na kwa nyuma ya shingo usoni na mikononi hasa kwenye vidole kabadilika sana hadi kashaanza kuwa na mabaka mabaka ,kumbe anavyojiita sharobaro ni kweli anataka kubadilika mi nilidhani ni a.k.a tuu anatumia .

Ushauri ;bora uendelee kubaki na rangi yako kama ni nyota itakuwakia tuu wewe ni mwanaume kubali rangi yako kama brother k.mbona maisha bado yapo na yataendelea tuu.
Au kama umeona kujichubua ndo utaonekana my brother unapotea badilika.View attachment 1298133
binafsi sioni alama za kujichubua,pengine ni chuki binafsi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ama kweli wanaume mnazidi kupungua. Haya huyoo kaona ucheusi mangala haumfai kaamua kujikwatua. Aiseee 🤔
Mtani unaniaibisha sasa, hapo kwenye picha anaonekana kajichuna?
Au tunachangia tu ili mradi?
.
Tatizo la hiyo picha ni kulegeza kwake macho tu na uskute ndivyo alivyo, mtazame Swicha baba (Quick racka) ana macho mazuri kuliko Irene Uwoya ukibahatika kumuona hajavaa miwani njoo ulete ushuhuda useme anajirembulisha au ndo alivyo
 
Hahhah Ila mkuu cha ajabu ambacho sikielewi kuhusu wanawake,naona mpk kuna wanawake wenye vyeo na ni wasomi wanajichubua mawaziri,makatibu huko wizarani,wakurugenzi etc.

Sasa hapo hua sielewi tofauti ya aliyesoma vs asiyesoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye kung'aa huwa Elimu inawekwa pembeni Mkuu.
 
Mtani unaniaibisha sasa, hapo kwenye picha anaonekana kajichuna?
Au tunachangia tu ili mradi?

.
Tatizo la hiyo picha ni kulegeza kwake macho tu na uskute ndivyo alivyo, mtazame Swicha baba (Quick racka) ana macho mazuri kuliko Irene Uwoya ukibahatika kumuona hajavaa miwani njoo ulete ushuhuda useme anajirembulisha au ndo alivyo
Hivyo hiyo ndio rangi yake Mtani?

Kuchangia ili mradi ndio aje? 🤔
 
Tatizo la hiyo picha ni kulegeza kwake macho tu na uskute ndivyo alivyo, mtazame Swicha baba (Quick racka) ana macho mazuri kuliko Irene Uwoya ukibahatika kumuona hajavaa miwani njoo ulete ushuhuda useme anajirembulisha au ndo alivyo
Kama unamjua nje ya hiyo picha ndio utueleweshe sasa Mtani ili tujue hajichubui na hata hilo la kurembua pia.
 
Hivyo hiyo ndio rangi yake Mtani?

Kuchangia ili mradi ndio aje? 🤔
Yani ndivyo alivyo huyo tena ni mweupe zaidi hiyo screenshot imemzurumu mtani.
.
Kuchangia ili mradi ni kila mtu anaunga mkono hoja ya wa stendi kwamba kajichubua ilihali hamumjui mtani wengine tunamjua way back uliza wakazi wa butimba
 
Yani ndivyo alivyo huyo tena ni mweupe zaidi hiyo screenshot imemzurumu mtani.
.
Kuchangia ili mradi ni kila mtu anaunga mkono hoja ya wa stendi kwamba kajichubua ilihali hamumjui mtani wengine tunamjua way back uliza wakazi wa butimba
Ooh. Sawa.

Ila nikwambie Mtani anayejichubua hata kwa picha tu anaonekana.
 
Yani ndivyo alivyo huyo tena ni mweupe zaidi hiyo screenshot imemzurumu mtani.
.
Kuchangia ili mradi ni kila mtu anaunga mkono hoja ya wa stendi kwamba kajichubua ilihali hamumjui mtani wengine tunamjua way back uliza wakazi wa butimba
Hahahaaa. We unayemjua huko Butimba Mtani ndio ungekuja kutuaminisha ka hivi sasa na sio maneno mingi mingi kama Manara. Teh teh

#Wekapichayakenyinginetuonehuoweupemtani.
 
Back
Top Bottom