Sharp Aquos

Gaming, smoothness, faster less lag, optimal camera, battery power( heavy user)
 
Battery life ikoje?, haichemki? Vip camera, chipset yake ni janga
 
Ipo Aquos yenye same soc sd 690 ambayo kiutendaji haitotofautiana na hio Sony, Sharp Aquos sense 5G. Midrange inayokaa na chaji. Kama lengo ni simu isiyopata joto, inayokaa na chaji bila kujali camera na perfomance basi inafaa.
Sense 5G compared na R6 ipi iko juu?
 
Kwa uzoefu chukua R6 hii naitumi najua uhalisia wake

R6 ipo juu Camera, Display etc sema haitakaa na chaji na matumizi heavy itapata joto
That's it ni siku ya pili iko very smooth ila chaji ni mtihani na Mimi ni full time user. Itanitesa sana halafu ina dedicated eSIM badala ya traditional dual sim cards. Nacho kipengele nataka ninunue kitochi tu
 
Mkuu hii bei uongo hapo k koo wezi, fb market unakuta s23 eti 400, hii simu haiez kuwa nzima
Mkuu kote bei ni hizo hizo, simu Ya miaka 4 iliopita unataka iuzwaje? Midrange nyingi za sasa hivi zina perfomance kuliko sd 865. Personally nilinunua na mtu simu ya sd 865 kkoo kwa 320,000 mwaka jana.

Hata ukicheki ebay, Pinduo, Shopee na masoko mengine ya simu bei ni hizo hizo, Pinduo hapa naziona zina range 150,000-290,000 hizo ni rejareja, mtu wa jumla akichukua atashindwa vipi kuuza 300,000-400,000 huku?

Na simu ni refurbished, ina maana ilikua mbovu ikatengenezwa, sio mpya.
 
B
Bei gani uli nunua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…