Sharp Aquos

Sharp Aquos

Hata ufanyeje, Zero 6 inakula sana chaji hilo ishi nalo. Na pia Aquos zote zinachemka, ila kuchemka hakuna madhara kwenye matumizi ya kila siku isipokuwa kuna muda utataka uipumzishe.

Ukichukua Xperia 10iii utashangaa jinsi inavyokaa na chaji. Hata Pixel 6 na 5 zote hazisogei.
Dah mi ugonjwa wangu ni simu inayokaa na charge, simu ya kila wakati kwenye socket inanipa wakati mgumu sana maana ndani ya masaa 24 muda ambao simu iko mkononi haupungui masaa 8.
 
Ebay $180-200 + usafiri pengine ikafika $210-220 hivi.

Na Pinduo hizo hizo za AliExpress unazipata bei rahisi naona Xiaomi 12S Kama 450,000 kule kabla ya usafiri
Kwani kati ya experia 5 ii , lg v60 thinq na real me gt neo 2


Zte zikiwa bei sawa ipi ya yakubeba?
 
Sema haina band ya 20 mkuu


Naiona ali express kwa 480000 pamoja na usafiri

Sema band ya 20 ndo haina
Yah kama unatumia Tigo ni deal breaker,

Sema hao BBK wana katabia ka ku rebrand simu zao, Oppo Find X3, oneplus 9R, Vivo X60 etc utazikuta zinafanania fanania.
 
Niko na R 6 shida ni moja... Speed ni kubwa ukiw na bando sa kupimiwa kwa vijiko utafilisika bila Intarnety bila kikomo .

Unagusa tuu ishafunguka kila kitu
RAM 12GB
ROM 128 GM
Display ni 6.67 edge

Kwa wapenzi wa muvi hizo ndo simu zenu maana kioo ni full display

Wale pia wapenzi wa game ndo zenyewe hazi stack Ram ni kubwa.


Nilichukuaga used

AQUOS R6 5G GB128 RAM12 ...unayo aina hiyo mkuu au siyo.​


Una onaje simu kukaa na chaji kwa matumizi ya kawaida yaani browsing, maana nina taka chukua hiyo simu mkuu.
 

AQUOS R6 5G GB128 RAM12 ...unayo aina hiyo mkuu au siyo.​


Una onaje simu kukaa na chaji kwa matumizi ya kawaida yaani browsing, maana nina taka chukua hiyo simu mkuu.
Inakaa na chaji kama hutatumi internet sana.
Ukitumi matumizi ya kawaida inakaa na chaji vizuri tuu.

Hivyo kama umpenzi wa Intenert jitahidi uwe na fast chaji ndani ya dakika 45 itoka 0 hadi 100

Swala nakushauri ni usije ukainunua alafu ikawa una vibando vya mawazo ki ukweli utaichukia, ina speed na inanyonya bando balaa.
 
Inakaa na chaji kama hutatumi internet sana.
Ukitumi matumizi ya kawaida inakaa na chaji vizuri tuu.

Hivyo kama umpenzi wa Intenert jitahidi uwe na fast chaji ndani ya dakika 45 itoka 0 hadi 100

Swala nakushauri ni usije ukainunua alafu ikawa una vibando vya mawazo ki ukweli utaichukia, ina speed na inanyonya bando balaa.
Hata ukiweka 4g au 3g bado ina endelea kula bundle, mimi nataka niitumie kwenye kufanya survey, hiyo survey ita hitaji niweke internet on kwa masaa 8 mfululizo.

Sijui kama hiyo ita nifaa.
 
Hata ukiweka 4g au 3g bado ina endelea kula bundle, mimi nataka niitumie kwenye kufanya survey, hiyo survey ita hitaji niweke internet on kwa masaa 8 mfululizo.

Sijui kama hiyo ita nifaa.
Nunua Router ya Airtel , au voda au Tigo ya 5g. Uzuri sio kubwa sana unaweza ukaibeba tuu ambayo ni Ullimited kwenye bando.

Pia kuwa na fast chaji maana ndni ya dakika 50 inatoa 0 inafika hadi asilimia mia ya chaji..

Hakuna simu itakuwa vizuri kwenye chaji wakati unatumia bando muda wote
 
Nunua Router ya Airtel , au voda au Tigo ya 5g. Uzuri sio kubwa sana unaweza ukaibeba tuu ambayo ni Ullimited kwenye bando.

Pia kuwa na fast chaji maana ndni ya dakika 50 inatoa 0 inafika hadi asilimia mia ya chaji..

Hakuna simu itakuwa vizuri kwenye chaji wakati unatumia bando muda wote
Sawa sawa bei gani hiyo na wapi naweza pata nika nunue. I hope iko na android updated kidogo.
 
Sawa sawa bei gani hiyo na wapi naweza pata nika nunue. I hope iko na android updated kidogo.
Router za Airtel ya home ni 200k kwa kununua alafu na malipo ya mwezi ni 70k.. Baada ya hapo kila mwezi unalipia sasa 70k ila inakuwa bila kikomo na waeza unganisha hata tv na watu wengine popote utakapo kuwa nayo..

Voda sikufatilia sana ila naskia ya kwako bei ni kubwa zaidi ya hapo .

Pia kwa Airtel(mawakala wao) wambie hutaki ya biashara ambayo unakuwa unalipia kifurushi tuu na ni cha 110k na kwa kila mwezi ila router inakuwa ya kwao(mali yao) hiyo ndo shida
 
Router za Airtel ya home ni 200k kwa kununua alafu na malipo ya mwezi ni 70k.. Baada ya hapo kila mwezi unalipia sasa 70k ila inakuwa bila kikomo na waeza unganisha hata tv na watu wengine popote utakapo kuwa nayo..

Voda sikufatilia sana ila naskia ya kwako bei ni kubwa zaidi ya hapo .

Pia kwa Airtel(mawakala wao) wambie hutaki ya biashara ambayo unakuwa unalipia kifurushi tuu na ni cha 110k na kwa kila mwezi ila router inakuwa ya kwao(mali yao) hiyo ndo shida
Sawa sawa
 
Hata ukiweka 4g au 3g bado ina endelea kula bundle, mimi nataka niitumie kwenye kufanya survey, hiyo survey ita hitaji niweke internet on kwa masaa 8 mfululizo.

Sijui kama hiyo ita nifaa.
Nenda kwa Aquos Sense 5 5g, hii unaweza acha data on kwa masaa 8 na bado chaji ikawa 60 mpaka 70.

Ina Camera nzuri na ni imara sana.
 
Back
Top Bottom